Tanzania ya "viwanda" imeishia wapi?

Tanzania ya "viwanda" imeishia wapi?

Sasa ni Tanzania ya "VIBANDA" yaani vibanda vinajengwa kila kona
 
Kwa lugha nyepesi kabisa ni kwamba TANZANIA ina viwanda vingi kuliko UJERUMANI
 
Walikwepo wanawake ambalo walitawala kwa mkono wa chuma, Bi Golda Meir wa Israel na Bandaranaike wa Sri-Lanka. Wengine waliojaribu kuwakaribia ni Indira Gandhi na Margaret Thatcher.
Umenikumbusha huyu mama aliekuwa Rais wa Sri Lanka (1994-2005) Chandrika Bandaranaike Kumaratunga.

Tanzania tutafanya kosa kubwa kwa kumwona mama Samia kama Rais mwanamke. Urais hauna jinsi (Presidency has no sex);

Suala ni Rais kuwa shupavu kwenye kuhakikisha wasaidizi wake wanafanya kazi kutimiza malengo yenye kuakisi utimilifu wa Dira ya maendeleo.
Changamoto moja anayoa Rais wetu wa sasa SSH ambayo pia alikuwa nayo JPM; kuna sehemu ya wasaidizi kwa level ya mawaziri au wasaidizi wa ofisi ya Rais, wanafikiri kizamani sana kwenye namna ya kufikia lengo la kujenga uchumi wa kisasa.

Uchumi wa kisasa kukua kwa biashara za bidhaa na huduma ili kupanua tax base. Sasa tuulizane, ni mpaka lini tutategemea uwekezaji wa nje hata kwenye kubangua mchele?
Wakati tukiweza kubangua mchele na kuufanyia polishing na grading, soko la mashariki ya kati pekee hatutaweza kulifikia. Uwekezaji kama huu wahitaji strategy ya kutumia bank ya Kilimo au bank ya uwekezaji kutoa financial instrument kwenye ili wanawekeza (Watanzania) wakopesheke equipment na fedha ya kununua malighafi kwa wakulima, leseni ya international exports na TBS wakiwa ni wakaguzi wa ubora wa chakula wakisimamia shoo vema, foreign envoy walioko Saudia, Oman wakicheza nafasi yao, mbona mambo haya yanawezekana.

Wakati Rais Magufuli anapokea Boeng balozi wa US alikuwepo, hali kadhalika wakati anapokea Bombadier balozi wa Canada alikuwepo.

Hata kuzalisha mchele kwa packaging kama hii hapo chini, napo mpaka aje mwekezaji toka nje? Kuna pahala akili zetu tumezifungia kwenye makabati, ndio kinachonishangaza unakuta waziri msomi na mavyeti kibao, badala ya kuja na strategic policies ili tufanya majamboz kwenye exports kwenye dunia hii ambayo ina upungufu wa chakula ikiwemo mchele unaonukia toka Tz, ahh sijui wanamsaidia vip Mhe. Rais kwa kujenga uchumi jumuishi.
Halafu ukienda Bank ya uwekezaji unasikia, kuna fedha zimekosa wakopaji simply kuna masharti magumu ambayo wanaokidhi ni chini ya 20%. (Fuatilia hotuba ya wizara ya fedha 2019/20. Benki ya uwekezaji alitumia less than 20% kukopesha ili kukuza uwekezaji)


1630765696330.png
 
Nimemsikia msemaji wa serikali leo akitolea ufafanuzi kuhusu suala la sukari. Serikali inaamua kufanya cartel na wenye viwanda vya sukari kuagiza nakisi ya sukari nchini kwa kisingizio cha kudhibiti ubora wa sukari inayoingizwa ili kumlinda mlaji. Hii ni serikali ya wananchi ama ya kulinda maslahi ya wafanyabiashara wachache. Na hili tatizo limekuwa awamu zote za utawala wa nnji hii. Tulitegemea serikali ione umuhimu wa ahueni ya bei ya sukari ambayo ni bidhaa inayogusa pengine kila Mtanzania na inge wezekana kwa kuruhusu watu wengine wenye uwezo kuagiza hiyo sukari ili kuleta ushindani wa soko na wenye viwanda vya sukari ambao matokeo yake ni bei kushuka. Lakini wapi ni hadithi za ajabu ajabu sijui mwakani ongezeko la uzalishaji litakuwa hivi vile. Watanzania wanachotaka ni bei ya sukari ishuke, hilo tu.
 
Kabla ya kujenga vipya.Vya zamani vilitokomea vipi?.Na je,tunajiaminisha vipi kwamba vikijengwa vipya havitatokomea kusikojulikana kama vya mwanzo?
Kupanga ni kuchagua.
Kama tuna idadi kubwa ya ng'ombe halafu wakivuka mpaka na kuingia Kenya then tuna-import nyama ya kusindika toka Kenya kisa tumeshindwa kujenga viwanda, basi akili zetu kuna pahala tumezinyima nafasi ya kufikiri na kutenda. Na kutenda huko sio rocket science.

Kama tunaendelea kuuza pamba ghafi then tuna-import vitambaa na nyuzi kwaenda EPZA then toka EPZA tuna export nguo, kuna pahala akili zetu hatujazishughulisha.

kama tunaendelea ku-import surgical cotton na surgical gauze wakati tunazalisha pamba, then inaenda india au china kisha MSD ina-import, kuna pahala hatujafikiri na kutenda vya kutosha.

Henry Ford anasema, if you think you can or you can't, you're right.

1630766425482.png


kama tuli-fail ni sehemu ya kujifunza, maana yake next time tusifeli. Viwanda badala ya kuendeshwa na sekta ya umma, viendeshwe na sekta binafsi na kuwa na kodi rafiki ili kukuza na kuvutia uwekezaji.

Uganda tumeikomboa toka kwenye civil war 1986 kwa sisi Tanzania kumsaidia Museveni kuingia madarakani; leo Uganda ina excess ya sukari; leo Uganda wana excess ya maziwa. Uganda wanaozalisha ni private sector ila fedha zinaingia kwenye mzunguko wa Uganda.
Tz ni kubwa kwa eneo kuliko Kenye, Uganda, Rwanda na Burundi, yet tuna deficit ya sukari.

Kagame kaingia juzi 1994; leo Rwanda anauza instant coffee Ulaya; nchi yenye uchumi mdogo kuliko shirika NSSF; sisi mpaka sasa tunajivunia kwa exports ya coffee beans?
Kweli??
Anyway, acha bendera ya Taifa iendelee kupepea.
 
Tanzania ya viwanda ilikuwa na bado inabaki kama lengo jema la kukuza uchumi wetu kwa kupunguza imports na ikiwezekana kukuza exports.

Ili tufikie hapo, serikali (ofisi ya AG, hazina, wizara za uwekezaji na wizara ya viwanda) zingetengeneza financial instruments/soft financial leverage ili mkakati huo uwe halisi.

Bahati mbaya, waziri yule aliedai vyerehani 4 au machine za tofali ni kiwanda alikosa maono na mkakati mahsusi wa kufikia lengo.

Imagine nchi ndogo kama Sri Lanka yenye aneo la mraba 65,000 sqkm wanauza products za pamba (finished well designed cloths) kwenda soko la USA na EU.

Sri Lanka wanauza consumable tea ikiwamo Dilma moja ya brand 10 bora za chai duniani.

Mkoa wa Moro una eneo la 72,000SqKM.
Inatupa dhana Tz tunafanya kulimo cha mwaka '47 badala ya kufanya kilimo-biashara na viwanda vikiwa sehemu ya kuchakata mazao ghafi kwa kuwa na technology ya kisasa, mtiririko wa fedha utagusa sekta kibao kama fedha (banking, insurance and pension)

Logistics kwa magari kusafirisha raw products kwenda viwandani na kutokea viwandani kwenda bandarini kwa ajili ya exports.

Ni aibu Waziri wa fedha anawaza kodi na tozo badala ya kuja na mkakati mkubwa wa kukuza uchumi mkubwa.

Iko haja ya kuwa na think tank inayojenga mazingira ya private sector kukua kwa kuzalisha zaidi basics za soko la ndani, soko la SADC , soko la GCC watu walio jangwani na then soko la magharibi.

Napata tabu kusikia hata upanuzi wa bandari ya Tanga, debe ya kurejea kwenye drawing board ya Bagamoyo port husikii akili au mkakati kukuza uzalishaji ili kukuza exports.

Kinachosikika ni containers nyingi zitakuja toka China; containers zenyewe baadhi zina toothpick, leso, chupi, soft brooms, magunia ya kusindikia korosho, mifagio ya buibui hata nyama za ng'ombe na maziwa ya kusindika.

Uwepo wa mkakati wa kifedha ili kununua technology na know-how vingekuwa msingi wa Tanzania ya viwanda inayozalisha bidhaa, ajira na kukuza exports kwa kupunguza imports inakuwa halisi.

Tanzania ya viwanda ikitimia many of us will win; ikidoda kama sasa many amongst us are losing.
Ni aibu kusikia story graduates wa masters wanaendesha bajaji; haikuwa na maana kupeleka mtoto university then aishie kuendesha bajaji mtaani, sio sawa.

Weekend njema.
The bad scenario in our country is that "Every current leader is worse than the former"
 
Kupanga ni kuchagua.
Kama tuna idadi kubwa ya ng'ombe halafu wakivuka mpaka na kuingia Kenya then tuna-import nyama ya kusindika toka Kenya kisa tumeshindwa kujenga viwanda, basi akili zetu kuna pahala tumezinyima nafasi ya kufikiri na kutenda. Na kutenda huko sio rocket science.

Kama tunaendelea kuuza pamba ghafi then tuna-import vitambaa na nyuzi kwaenda EPZA then toka EPZA tuna export nguo, kuna pahala akili zetu hatujazishughulisha.

kama tunaendelea ku-import surgical cotton na surgical gauze wakati tunazalisha pamba, then inaenda india au china kisha MSD ina-import, kuna pahala hatujafikiri na kutenda vya kutosha.

Henry Ford anasema, if you think you can or you can't, you're right.

View attachment 1923694

kama tuli-fail ni sehemu ya kujifunza, maana yake next time tusifeli. Viwanda badala ya kuendeshwa na sekta ya umma, viendeshwe na sekta binafsi na kuwa na kodi rafiki ili kukuza na kuvutia uwekezaji.

Uganda tumeikomboa toka kwenye civil war 1986 kwa sisi Tanzania kumsaidia Museveni kuingia madarakani; leo Uganda ina excess ya sukari; leo Uganda wana excess ya maziwa. Uganda wanaozalisha ni private sector ila fedha zinaingia kwenye mzunguko wa Uganda.
Tz ni kubwa kwa eneo kuliko Kenye, Uganda, Rwanda na Burundi, yet tuna deficit ya sukari.

Kagame kaingia juzi 1994; leo Rwanda anauza instant coffee Ulaya; nchi yenye uchumi mdogo kuliko shirika NSSF; sisi mpaka sasa tunajivunia kwa exports ya coffee beans?
Kweli??
Anyway, acha bendera ya Taifa iendelee kupepea.
Inasikitisha sana
 
Huwezi kuwa na viwanda kama watu na akili zao timamu wanakubali umeme kukatika kwa saa zaidi ya 10 mara kwa mara bila hata sababu ya msingi wala fidia! Never
 
Kupanga ni kuchagua.
Kama tuna idadi kubwa ya ng'ombe halafu wakivuka mpaka na kuingia Kenya then tuna-import nyama ya kusindika toka Kenya kisa tumeshindwa kujenga viwanda, basi akili zetu kuna pahala tumezinyima nafasi ya kufikiri na kutenda. Na kutenda huko sio rocket science.

Kama tunaendelea kuuza pamba ghafi then tuna-import vitambaa na nyuzi kwaenda EPZA then toka EPZA tuna export nguo, kuna pahala akili zetu hatujazishughulisha.

kama tunaendelea ku-import surgical cotton na surgical gauze wakati tunazalisha pamba, then inaenda india au china kisha MSD ina-import, kuna pahala hatujafikiri na kutenda vya kutosha.

Henry Ford anasema, if you think you can or you can't, you're right.

View attachment 1923694

kama tuli-fail ni sehemu ya kujifunza, maana yake next time tusifeli. Viwanda badala ya kuendeshwa na sekta ya umma, viendeshwe na sekta binafsi na kuwa na kodi rafiki ili kukuza na kuvutia uwekezaji.

Uganda tumeikomboa toka kwenye civil war 1986 kwa sisi Tanzania kumsaidia Museveni kuingia madarakani; leo Uganda ina excess ya sukari; leo Uganda wana excess ya maziwa. Uganda wanaozalisha ni private sector ila fedha zinaingia kwenye mzunguko wa Uganda.
Tz ni kubwa kwa eneo kuliko Kenye, Uganda, Rwanda na Burundi, yet tuna deficit ya sukari.

Kagame kaingia juzi 1994; leo Rwanda anauza instant coffee Ulaya; nchi yenye uchumi mdogo kuliko shirika NSSF; sisi mpaka sasa tunajivunia kwa exports ya coffee beans?
Kweli??
Anyway, acha bendera ya Taifa iendelee kupepea.
Hongera kwa hoja kuntu iliyoshiba.Sidhani kama wenye mamlaka hawajui hayo uliyoeleza.Nikionacho ni hofu ya kutoka madarakani.Nchi hii ukitokomezwa ujinga na umasikini kuna watu nyadhfa zitawatoka.Na wao hawapo radhi na hili.Hivyo imekuwa kama aina fulani ya vita hivi.
 
Kupanga ni kuchagua.
Kama tuna idadi kubwa ya ng'ombe halafu wakivuka mpaka na kuingia Kenya then tuna-import nyama ya kusindika toka Kenya kisa tumeshindwa kujenga viwanda, basi akili zetu kuna pahala tumezinyima nafasi ya kufikiri na kutenda. Na kutenda huko sio rocket science.

Kama tunaendelea kuuza pamba ghafi then tuna-import vitambaa na nyuzi kwaenda EPZA then toka EPZA tuna export nguo, kuna pahala akili zetu hatujazishughulisha.

kama tunaendelea ku-import surgical cotton na surgical gauze wakati tunazalisha pamba, then inaenda india au china kisha MSD ina-import, kuna pahala hatujafikiri na kutenda vya kutosha.

Henry Ford anasema, if you think you can or you can't, you're right.

View attachment 1923694

kama tuli-fail ni sehemu ya kujifunza, maana yake next time tusifeli. Viwanda badala ya kuendeshwa na sekta ya umma, viendeshwe na sekta binafsi na kuwa na kodi rafiki ili kukuza na kuvutia uwekezaji.

Uganda tumeikomboa toka kwenye civil war 1986 kwa sisi Tanzania kumsaidia Museveni kuingia madarakani; leo Uganda ina excess ya sukari; leo Uganda wana excess ya maziwa. Uganda wanaozalisha ni private sector ila fedha zinaingia kwenye mzunguko wa Uganda.
Tz ni kubwa kwa eneo kuliko Kenye, Uganda, Rwanda na Burundi, yet tuna deficit ya sukari.

Kagame kaingia juzi 1994; leo Rwanda anauza instant coffee Ulaya; nchi yenye uchumi mdogo kuliko shirika NSSF; sisi mpaka sasa tunajivunia kwa exports ya coffee beans?
Kweli??
Anyway, acha bendera ya Taifa iendelee kupepea.

Hii dunia ya utandawazi mawazo kama haya ambayo ni bora sana ni ushauri wa bure gharama yake ni kusoma na kuangalia tu jinsi ya kuyaweka kwenye vitendo. Hawa wange pewa kuiongoza hii nchi kipindi cha Nyerere na kina Karume ambapo mawazo mbadala ni vigumu kuyapata, sina hakika kama Taifa hili lingali kuwepo duniani bado.
 
Nakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.

Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa). Na tukaambiwa mpaka mwaka jana Tz kuna viwanda zaidi ya 8400!

Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?

Shhhhiiiiii shhhhiiiiii nyamaza ww.. Keep quite..!! 🐧🐧🐧🐧🐧 nyonya pipi hizi utulie 🍬🍭🍬🍭🙊
 
Shhhhiiiiii shhhhiiiiii nyamaza ww.. Keep quite..!! [emoji210][emoji210][emoji210][emoji210][emoji210] nyonya pipi hizi utulie [emoji516][emoji517][emoji516][emoji517][emoji87]
Hahahaaaaa ndo unavyonyamazishaga watu au siyo?.Enhee hebu nambie akinyonya hizo pipi akizimaliza huwa unafanyaje baada ya hapo mathalani na wewe pipi za kumpatia tena zimekata.Bajeti haisomi.
 
Hongera kwa hoja kuntu iliyoshiba.Sidhani kama wenye mamlaka hawajui hayo uliyoeleza.Nikionacho ni hofu ya kutoka madarakani.Nchi hii ukitokomezwa ujinga na umasikini kuna watu nyadhfa zitawatoka.Na wao hawapo radhi na hili.Hivyo imekuwa kama aina fulani ya vita hivi.
Ni bora kuchochea biashara ili kupanua tax base hata kama kuna mpango wa kukaa madatakani milele, ila kuna means za ku-support development projects bila kubinya sana mifuko wa wananchi kwa kile kodogo walicho nano;

Ila kama wanajua nini cha kufanya na hawafanyi, basi msoto upo mpaka kwa ndugu zao, maana kama ajira ni tight, basi kuna watu kibao ikiwamo wajimba, binamu, wapwa nao watasota.

Ila kama kuna neema ya kujenga uchumi jumuishi, si haba kuna wapwa nao watapata kazi private sector au public sector,

Imagine, kama private sector inakuwa kwenye sekta ya viwanda kwa mfano, lazima atoe ajira; wakati huo huo mahitaji ya ajira public sector nayo yataongezeka kwa supporting sector kama TBS, NSSF, OSHA, NEMC, TANESCO, taasisi za maji (DAWASCO, MWAUWASA et la) ili kuendana na kuhudumia mahitaji ya sekta binafsi.

Mfumo wa zamani ulilenga kupanua empire, hata sasa US na CHina wanagombana kupanua empire kibiashara. Kama serikali haina fikra za kuwa sehemu ya kuijenga sekta binafsi ili kupanua empire za kikodi kwa uzalishaji endelevu, basi tuna watu ambao hawakutakuwa kabisa kuwa kwenye nyadhifa walizonazo.
 
Nakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.

Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa). Na tukaambiwa mpaka mwaka jana Tz kuna viwanda zaidi ya 8400!

Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?
Sasa hivi tuna Tanzania ya utalii!! Humuoni mama Lao yupo bize na utalii?
 
Nakumbuka miaka ya mwazo ya mwendazake wimbo wa viwanda uliimbwa sana na tukaambiwa mtu ukiwa vyerehani vinne basi unakiwanda.

Wakaenda mbele zaidi na kusema kila mkoa unaviwanda zaidi ya 100 (hapa figure siikumbuki vizuri ila ilikua kubwa). Na tukaambiwa mpaka mwaka jana Tz kuna viwanda zaidi ya 8400!

Sasa najiuliza je viwanda siku hizi vimeishia wapi? Mbona wanasiasa hawaimbi tena wimbo wa viwanda?
Inawezekana hii sera haikuwa ya fisiemu kama fisiemu bali ya mwendazake....
 
Hyt. JPM Alituhamasisha tuongeze juhudi na budii ktk ujenzi w Viwanda... Lakini waTZ bado unapenda mjadala na kuhoji..
Jiwe angekuwa tayari kuimarisha mijadala chanya pamoja na kujibu hoja na maswali ya msingi, nchi hii ingeweza kujenga misingi ya kujenga TAIFA bora na kupata maendeleo ya kweli.
Badala yake alikalia udhalimu na vitisho, akafanikiwa kujenga uoga na unafiki uliotamalaki sana miongoni mwa watz.
 
Back
Top Bottom