Tanzania yaanza kuiga Kenya kisiasa - mwamko mpya Tanzania

Tanzania yaanza kuiga Kenya kisiasa - mwamko mpya Tanzania

Eti kuiga Kenya, hako kaclip kamekuwa famous Kenya, hawakutegemea demokrasia kama iyo kwa magu.
Hakuna mtu anaependwa na watu wote
 
Ndoto na maombi yenu nyie nyang'au ni Magufuli kiboko yenu ashindwe kwenye huu uchaguzi.

Kwa taarifa yenu, haendi popote mpaka miaka mingine mitano ijayo iishe.

Mpaka muite maji 'mma' safari hii.😅😅
 
Najua unadhani walikuwa wanaandamana hapo!

Hapo wapo/wanaelekea kwenye mkutano wa kampeni.
 
Binafsi nilikua nadhani upinzani Tz umezikwa, ila huyo jamaa Lissu amewapa muamko mpya, sasa hivi CCM wanaweweseka na kuparamia kila kitu, wamepoteana, angalia clips za huyo Lissu na anayoyasema na kuhutubia kwa ujasiri, huku mwenzake wa CCM ameanza kutoa vitisho hadi kwa Kisukuma.
 
Binafsi nilikua nadhani upinzani Tz umezikwa, ila huyo jamaa Lissu amewapa muamko mpya, sasa hivi CCM wanaweweseka na kuparamia kila kitu, wamepoteana, angalia clips za huyo Lissu na anayoyasema na kuhutubia kwa ujasiri, huku mwenzake wa CCM ameanza kutoa vitisho hadi kwa Kisukuma.

Usihadaike na propaganda za Jukwaa la Siasa JF, mtaani hali ni tofauti sana, CDM wakishinda hata majimbo 5 kati ya majimbo yote 264 watakuwa wamejitahidi sana, sasa huu kama ni ushindi kwako sawa?
 
Usihadaike na propaganda za Jukwaa la Siasa JF, mtaani hali ni tofauti sana, CDM wakishinda hata majimbo 5 kati ya majimbo yote 264 watakuwa wamejitahidi sana, sasa huu kama ni ushindi kwako sawa?
Lissu anashinda uraisi for sure Watanzania wengi wanamuamini.
 
Usihadaike na propaganda za Jukwaa la Siasa JF, mtaani hali ni tofauti sana, CDM wakishinda hata majimbo 5 kati ya majimbo yote 264 watakuwa wamejitahidi sana, sasa huu kama ni ushindi kwako sawa?
Pole kanywe maji moyo uelee

Cdm inaenda kuongoza majimbo mengi mno. Hamna mbeleko itawabeba asaiv mmezoe vya kunyonga kila siku asaiv ni jino kwa jino amna cha polisi wala mkurugenzi anaewabeba
 
Binafsi nilikua nadhani upinzani Tz umezikwa, ila huyo jamaa Lissu amewapa muamko mpya, sasa hivi CCM wanaweweseka na kuparamia kila kitu, wamepoteana, angalia clips za huyo Lissu na anayoyasema na kuhutubia kwa ujasiri, huku mwenzake wa CCM ameanza kutoa vitisho hadi kwa Kisukuma.
Ni Kama kipindi cha korona ukiwa mtandaoni unaweza kudhani watu wanakufa na kuanguka kila mahali ila huu upepo wa siasa za chadema uko jf na Twitter kidogo lakini ushindi wa Magufuli hautapungua 85%. Tanzania na hii mitandao Kama JF au Twitter haina ushawishi mkubwa kivile kwa watu wa chini angalau Facebook inatumika zaidi na hata wale wa hali ya chini
 
Pole kanywe maji moyo uelee
Cdm inaenda kuongoza majimbo mengi mno. amna mbeleko itawabeba asaiv mmezoe vya kunyonga kila siku asaiv ni jino kwa jino amna cha polisi wala mkurugenzi anaewabeba

Oct itakuwa ni vilio tu, Tz ukisikiliza JF ukienda mtaani mambo mawili tofauti, nakumbuka wakati wa maandamano ya Mange ukipitia JF utasema Magu anaenda kupinduliwa kesho, bonge la shamrashamra hadi BBC na international mainstream media walitangaza sana, ikafika siku ya maandamano hakuna hata nyumbu mmoja achilia 10 aliojitokeza barabarani, hii ndio Tz, ukisikiliza JF na Twitter ni uwanja wa propaganda tu, hamna kitu.
 
Ni Kama kipindi cha korona ukiwa mtandaoni unaweza kudhani watu wanakufa na kuanguka kila mahali ila huu upepo wa siasa za chadema uko jf na Twitter kidogo lakini ushindi wa Magufuli hautapungua 85%. Tanzania na hii mitandao Kama JF au Twitter haina ushawishi mkubwa kivile kwa watu wa chini angalau Facebook inatumika zaidi na hata wale wa hali ya chini
Walimpamba membe mitandaoni...membe akasema yees...sasa hivi kwenye kampeni zake wale waliokuwa wanampamba wala hawaonekani.
 
Usihadaike na propaganda za Jukwaa la Siasa JF, mtaani hali ni tofauti sana, CDM wakishinda hata majimbo 5 kati ya majimbo yote 264 watakuwa wamejitahidi sana, sasa huu kama ni ushindi kwako sawa?
Watanzania gani? Huyu anayesema Tanzania corona imejaa na inaua watu wengi lkn yeye hana social distance, havai barakoa wala hasanitize? Never in Tanzania
 
Binafsi nilikua nadhani upinzani Tz umezikwa, ila huyo jamaa Lissu amewapa muamko mpya, sasa hivi CCM wanaweweseka na kuparamia kila kitu, wamepoteana, angalia clips za huyo Lissu na anayoyasema na kuhutubia kwa ujasiri, huku mwenzake wa CCM ameanza kutoa vitisho hadi kwa Kisukuma.
Tuombeeni Mungu atuondolee hii taabu iliyotutesa miaka 5
 
Walimpamba membe mitandaoni...membe akasema yees...sasa hivi kwenye kampeni zake wale waliokuwa wanampamba wala hawaonekani.
😂😂 Mkenge alioingizwa membe ni wa kiwango cha SGR, yaani uchaguzi huu itakuwa funga kazi maana Magufuli akipata chache sana ni 85%, Lisu hata wanachama wa chadema hawampi sembesu wale neutral ambao ndio wengi zaidi. Saikolojia ya watanzania ipo kwenye kuwaza amani ndio maana linapokuja suala la uhakika wa amani CCM ndio inapowawini wapinzani. endapo upinzani ungemantain viongozi wazee na wenye busara kuanzia lowasa, slaa, Baregu, arfi said na wengineo hakika nchi hii wangipata bila hivyo watachelewa sana maana hata vijana wakianza majukumu akili zina anza kuikubali CCM
 
Back
Top Bottom