Tanzania yaanza kuiga Kenya kisiasa - mwamko mpya Tanzania

Tanzania yaanza kuiga Kenya kisiasa - mwamko mpya Tanzania

[emoji23][emoji23] Mkenge alioingizwa membe ni wa kiwango cha SGR, yaani uchaguzi huu itakuwa funga kazi maana Magufuli akipata chache sana ni 85%, Lisu hata wanachama wa chadema hawampi sembesu wale neutral ambao ndio wengi zaidi. Saikolojia ya watanzania ipo kwenye kuwaza amani ndio maana linapokuja suala la uhakika wa amani CCM ndio inapowawini wapinzani. endapo upinzani ungemantain viongozi wazee na wenye busara kuanzia lowasa, slaa, Baregu, arfi said na wengineo hakika nchi hii wangipata bila hivyo watachelewa sana maana hata vijana wakianza majukumu akili zina anza kuikubali CCM
Wale wanaharakati uchwara wa kule twitter na jukwaa la siasa walimjaza maneno kibao lakini sasa hivi hawana habari nae tena wengine wanamshahuri aachane na kampeni na ajitoe kwenye kugombea urais.
 
Ni Kama kipindi cha korona ukiwa mtandaoni unaweza kudhani watu wanakufa na kuanguka kila mahali ila huu upepo wa siasa za chadema uko jf na Twitter kidogo lakini ushindi wa Magufuli hautapungua 85%. Tanzania na hii mitandao Kama JF au Twitter haina ushawishi mkubwa kivile kwa watu wa chini angalau Facebook inatumika zaidi na hata wale wa hali ya chini

Wapi nimetaja JF.
Sema mlivyo mabingwa wa bao la mkono kama jinsi huwa mnajinadi, inawezekana mkashinda, ila kwa Lissu alivyo mjasiri, raundi hii mbinu zozote hizo zinaweza kuwatokea puani, jamaa mlimuondoa kwa marisasi na alivyo chizi alikubali kurudi huko huko tena kwa kugombea urais.
Ingelikua muoga kama mimi nigeishi huko kwa Wabelgiji na kuisaha Afrika milele.
 
Wapi nimetaja JF.
Sema mlivyo mabingwa wa bao la mkono kama jinsi huwa mnajinadi, inawezekana mkashinda, ila kwa Lissu alivyo mjasiri, raundi hii mbinu zozote hizo zinaweza kuwatokea puani, jamaa mlimuondoa kwa marisasi na alivyo chizi alikubali kurudi huko huko tena kwa kugombea urais.
Ingelikua muoga kama mimi nigeishi huko kwa Wabelgiji na kuisaha Afrika milele.
Lisu anaushawishi kwa watu wachache wasio na maono wala usidhani watanzania hawaoni anachokifanya. Tokea amekuja amejaribu kwa kila mbinu ili asababishe fujo ili serikali imekuwa makini na wajanja zaidi kwa puuza azma yake lakini nakuhakikishia akiendelea hivyo atakacho kipata kitakua historia maana watachakazwa kwelikweli.
MK254 wewe unaweza kumchagua Rais asiye na maono yaani yeye ni kupinga yale yalifanywa na mwenzake bila kueleza yeye atafanya Jambo gan?
 
Binafsi nilikua nadhani upinzani Tz umezikwa, ila huyo jamaa Lissu amewapa muamko mpya, sasa hivi CCM wanaweweseka na kuparamia kila kitu, wamepoteana, angalia clips za huyo Lissu na anayoyasema na kuhutubia kwa ujasiri, huku mwenzake wa CCM ameanza kutoa vitisho hadi kwa Kisukuma.
lissu hana tofauti na Miguna Miguna,kelele na amsha amsha nyingi tu ili uchaguzi unoge,subiri matokeo tu
 
Oct itakuwa ni vilio tu, Tz ukisikiliza JF ukienda mtaani mambo mawili tofauti, nakumbuka wakati wa maandamano ya Mange ukipitia JF utasema Magu anaenda kupinduliwa kesho, bonge la shamrashamra hadi BBC na international mainstream media walitangaza sana, ikafika siku ya maandamano hakuna hata nyumbu mmoja achilia 10 aliojitokeza barabarani, hii ndio Tz, ukisikiliza JF na Twitter ni uwanja wa propaganda tu, hamna kitu.
You are on point.
Mange alitisha zaidi ya kigogo!
Mange alikuwa hata hajifichi. Lakini kilichotokea hakuamni.. Makamanda wa kwenye Twitter/JF/ Insta ndio hao tu.. Labda elf 10 ama 20 wanaleta sana Fujo mtandaoni...
Hata corona walishasema sana.. Magu akawaangalia akasema hiiiii!!!!
Na hii inanifanya nisiwe na imani na CHADEMA. Mpaka sasa wanacheza ngoma ya magu kwenye Korona kimya kimya...
Duuuh
 
Binafsi nilikua nadhani upinzani Tz umezikwa, ila huyo jamaa Lissu amewapa muamko mpya, sasa hivi CCM wanaweweseka na kuparamia kila kitu, wamepoteana, angalia clips za huyo Lissu na anayoyasema na kuhutubia kwa ujasiri, huku mwenzake wa CCM ameanza kutoa vitisho hadi kwa Kisukuma.
Hakika
Ccm wamevurugwa
 
Usihadaike na propaganda za Jukwaa la Siasa JF, mtaani hali ni tofauti sana, CDM wakishinda hata majimbo 5 kati ya majimbo yote 264 watakuwa wamejitahidi sana, sasa huu kama ni ushindi kwako sawa?
Kitu unachoshindwa kuelewani kwamba wengi wanamsapoti Lissu SEMA wanakgopa kujionyesha kutokana na hali ya sasa ya kisiasa, na wengine wanajifanya ccm hasa watumishi kwa ajili ya kulinda nafasi zao
 
Wapi nimetaja JF.
Sema mlivyo mabingwa wa bao la mkono kama jinsi huwa mnajinadi, inawezekana mkashinda, ila kwa Lissu alivyo mjasiri, raundi hii mbinu zozote hizo zinaweza kuwatokea puani, jamaa mlimuondoa kwa marisasi na alivyo chizi alikubali kurudi huko huko tena kwa kugombea urais.
Ingelikua muoga kama mimi nigeishi huko kwa Wabelgiji na kuisaha Afrika milele.
Tuliwaambia tz tamu yahee uwezi fananisha na usa hiyo ubegiji
 
Back
Top Bottom