Tanzania yaanza kujenga reli ya kisasa kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro

Tanzania yaanza kujenga reli ya kisasa kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro

Viashiria vya ufisadi hivi.....Reli ya Dar-moro ya nn wkt tayari kuna reli nyingine na kuna usafiri wa uhakikwa kwa njia ya barabara?
Kwa nn asifufue mashamba ya mkonge pale moro na kujenga kiwanda kwanza?
KWA NN HII SERIKALI NA VIONGOZI KUANZIA KIONGOZI MKUU HAWAJUI PRINCIPLE HATA MOJA YA UCHUMI? TUMEROGWA NA NANI?
Ni nani aliyetuloga.lipi jema?
 
Naona mji wa Morogoro ktk kipindi cha miaka kumi kubadilika kwa kasi na kuwa jiji.Ukiangalia kwa haraka haraka tayari Moro ni kiunganishi kwa DSM, DOM, MBY na ikiwezakana barabara ya enzi hizo za ukoloni ikifufuliwa Korogwe,Handeni,Turiani....naona Moro haitashikika kwa maendeleo.Barabara na reli za uhakika ndio infastructure muhimu ktk kuleta maendeleo.Kwa wale waliowahi kuishi au kutembelea South Africa basi ni ushahidi tosha kwa nini tunahitaji infastructure za aina hii.kwa hili nampongenza JPM na team yake.
 
Viashiria vya ufisadi hivi.....Reli ya Dar-moro ya nn wkt tayari kuna reli nyingine na kuna usafiri wa uhakikwa kwa njia ya barabara?
Kwa nn asifufue mashamba ya mkonge pale moro na kujenga kiwanda kwanza?
KWA NN HII SERIKALI NA VIONGOZI KUANZIA KIONGOZI MKUU HAWAJUI PRINCIPLE HATA MOJA YA UCHUMI? TUMEROGWA NA NANI?
mawazo ya kisoviet na kijima
 
Back
Top Bottom