๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ก๐—ฑ๐—ฒ๐—ด๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ

๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ก๐—ฑ๐—ฒ๐—ด๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ก๐—ฑ๐—ฒ๐—ด๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ

1_20250112_154327_0000.png


Hatimaye Tanzania imefanikia kuanza kuunda ndege zake zenyewe ambapo Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amefanya ziara katika kiwanda cha Airplane Africa limited (AAL) kinachotengeneza ndege ndogo aina ya Sky leader 600 mkoani Morogoro.

Kiwanda kilianza kazi rasmi mwaka 2024 na hadi kufikia januari 2025 kimefanikiwa kuunda Ndege 5 tayari ambazo zenye uwezo wa kubeba Abiria Wawili.

2_20250112_154327_0001.png


Uwekezaji wa kampuni hiyo kutoka Jamhuri ya Czech umechangiwa na juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan chini ya Falsafa ya 4R.

Kwa afrika ni nchi mbili tu ndo zinatengeneza ndege zake zenyewe ya kwanza Afrika Kusini ikifuatiwa na Tanzania hivyo unaweza kuona vile nchi Yetu inavyozidi kupiga hatua katika maendeleo.

images (2).jpeg


Ndege hizo kwa sasa zinaweza kutumika katika kilimo, kufanya utafiti ulinzi pamoja na utalii.
 
Pongezi sana kwa Tanzania na watengenezaji wa hizi ndege, tunahitaji elimu zaidi ya kufanya wenyewe na kuachana na kuagiza kila bidhaa nje ya nchi yetu.
 
๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ก๐—ฑ๐—ฒ๐—ด๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ

View attachment 3199878

Hatimaye Tanzania imefanikia kuanza kuunda ndege zake zenyewe ambapo Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amefanya ziara katika kiwanda cha Airplane Africa limited (AAL) kinachotengeneza ndege ndogo aina ya Sky leader 600 mkoani Morogoro.

Kiwanda kilianza kazi rasmi mwaka 2024 na hadi kufikia januari 2025 kimefanikiwa kuunda Ndege 5 tayari ambazo zenye uwezo wa kubeba Abiria Wawili.

View attachment 3199879

Uwekezaji wa kampuni hiyo kutoka Jamhuri ya Czech umechangiwa na juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan chini ya Falsafa ya 4R.

Kwa afrika ni nchi mbili tu ndo zinatengeneza ndege zake zenyewe ya kwanza Afrika Kusini ikifuatiwa na Tanzania hivyo unaweza kuona vile nchi Yetu inavyozidi kupiga hatua katika maendeleo.

View attachment 3199881

Ndege hizo kwa sasa zinaweza kutumika katika kilimo, kufanya utafiti ulinzi pamoja na utalii.
Pongezi kwa nchi yetu. Kiwanda hicho kipige hatua baada ya miaka 10 tuwe tunatengeneza hadi airbus
 
Bila mama samia tusingeweza hili, pongezi kwake ๐Ÿ˜Ž
 
hebu tuone cockpit
isijeekuwa na speedometer za vitz na taa ya oil za foresta...
 
Tunawauzia kina nani kwa faida ya kiasi gani ? Kama ni private all the best.., ila kama ni private ya kutuuzia UMMA kwa bei ya juu kuliko ambayo tungenunua ughaibuni, this is not Kosher...

"It is the maxim of every prudent master of a family never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy. The tailor does not attempt to make his own shoes but buys them from the shoemaker. The shoemaker does not attempt to make his own clothes but employs a tailor."
 
Ndege milioni 600

Kupata leseni ya urubani milioni 40+

Bado service, ndege sio kama gari kusema ukitegea service likiharibika njiani unapaki
 
Kichwa cha habari ni kama click bait, Tanzania haitengenezi ndege zake zenyewe, Bali hiyo kampuni ya Czech imetengeneza Assembling plant, yaani wanaingiza vifaa kuna kuunganishwa maana ni nafuu ku-import parts na kuunganisha kuliko ndege nzima.

Hii haina tofauti kama vile bajaji zinavyoingizwa nchini ambazo huja kuunganishwa nchini. Hakuna kifaa hata kimoja kinachotengenezwa nchini.
 
Kichwa cha habari ni kama click bait, Tanzania haitengenezi ndege zake zenyewe, Bali hiyo kampuni ya Czech imetengeneza Assembling plant, yaani wanaingiza vifaa kuna kuunganishwa maana ni nafuu ku-import parts na kuunganisha kuliko ndege nzima.

Hii haina tofauti kama vile bajaji zinavyoingizwa nchini ambazo huja kuunganishwa nchini. Hakuna kifaa hata kimoja kinachotengenezwa nchini.
Ndo tujifunze kutoka kwa hao Czech.
 
Mimi nilifikiri wate
๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ก๐—ฑ๐—ฒ๐—ด๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ

View attachment 3199878

Hatimaye Tanzania imefanikia kuanza kuunda ndege zake zenyewe ambapo Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amefanya ziara katika kiwanda cha Airplane Africa limited (AAL) kinachotengeneza ndege ndogo aina ya Sky leader 600 mkoani Morogoro.

Kiwanda kilianza kazi rasmi mwaka 2024 na hadi kufikia januari 2025 kimefanikiwa kuunda Ndege 5 tayari ambazo zenye uwezo wa kubeba Abiria Wawili.

View attachment 3199879

Uwekezaji wa kampuni hiyo kutoka Jamhuri ya Czech umechangiwa na juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan chini ya Falsafa ya 4R.

Kwa afrika ni nchi mbili tu ndo zinatengeneza ndege zake zenyewe ya kwanza Afrika Kusini ikifuatiwa na Tanzania hivyo unaweza kuona vile nchi Yetu inavyozidi kupiga hatua katika maendeleo.

View attachment 3199881

Ndege hizo kwa sasa zinaweza kutumika katika kilimo, kufanya utafiti ulinzi pamoja na utalii.
Mimi nilifikiri wateengenezaji ni watanzania!, kumbe ni kampuni kutoka Czech! Tuendelee tu kujidanganya!!
 
Ndo tujifunze kutoka kwa hao Czech.
Hauwezi kujifunza Kwa mtindo huu, nchi inapotaka kujifunza huundwa joint ventures Kati ya kampuni ya wazawa na hiyo ya kigeni na ikiwezekana unalazimisha wazawa washiriki pia kwenye hatua zote(r&d, designing, manufacturing na marketing). Mfano mzuri china na kampuni za magari ya ulaya baada ya mwaka 1979.
Au Comac ya China na United Aircraft Corporation ya Urusi walivyound kampuni ya CRAIC na baadae Comac ikaamua kujitegemea baada ya kupata maarifa

Tofauti na hapo hakuna chochote utakachogain.
 
Mimi sijaelewa uzuri ni kwamba tunatengeneza kuanzia 1 mpaka mwisho au tunaletewa mavyuma na kuyaunga.
 
Back
Top Bottom