Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
- Thread starter
- #21
Kama mtu mwenye akili timamu unaelewa kiac cha korona nchini mwako bila hata ya kipimo, haiwezekani kuwe na maambukizi Kwa kiwango wanachokisema halafu mtaani kwako usiwahi kumuona au kusikia mgonjwa hata mmoja bc sio ugonjwa huo bali ni uvumi kama ule wa ebolaMtaani kwenu yupo mtu anaeugua Corona au ndani kwenu?