Tanzania yafuzu hatua ya Robo fainali, Kombe la dunia la Wanawake Chini ya Miaka 17

Tanzania yafuzu hatua ya Robo fainali, Kombe la dunia la Wanawake Chini ya Miaka 17

Waongele sana. Nimeangalia mpira wamecheza vizuri sana.

Wamepambana mwanzo mwisho. Naona tuna kila dalili ya kusonga mbele dhidi ya colombia.
 
Hawa watoto watatoboa tu. Japan walitufunga baada ya kulimwa red card. Hata vs France walitufanya hivyo hivyo. Itabidi mabinti zetu watahadharishwe sana kwenye knockouts.
 
Nipo ghetto naangalia hawa watoto. Wamejitahidi sana tokea game ya kwanza kufungwa 4-0 na Japan ilikuwa sababu ya red card ya mapema sana, game ya Ufaransa walishinda 2-1 na walipata red pia. Game ya leo pia refa kabeba Canada kwa kuwapa penalt laini sana.

Nimeona kama Tanzania tumeonewa sana tokea game ya kwanza kabisa ila kihalali hawa wadogo zetu wanapiga soka safi sana.
 
Nipo ghetto naangalia hawa watoto. Wamejitahidi sana tokea game ya kwanza kufungwa 4-0 na Japan ilikuwa sababu ya red card ya mapema sana, game ya Ufaransa walishinda 2-1 na walipata red pia. Game ya leo pia refa kabeba Canada kwa kuwapa penalt laini sana.

Nimeona kama Tanzania tumeonewa sana tokea game ya kwanza kabisa ila kihalali hawa wadogo zetu wanapiga soka safi sana.
Hata Tanzania imebebwa kidogo na refa. Faulo 2 walizocheza Tanzania mbele ya marefa wa kiingereza ni nyekundu 2 zisizokuwa na shida yoyote.
 
Hata Tanzania imebebwa kidogo na refa. Faulo 2 walizocheza Tanzania mbele ya marefa wa kiingereza ni nyekundu 2 zisizokuwa na shida yoyote.
Hapana, ukiwa umecheki game zote tatu utagundua tungeweza kushinda zote kama sio figisu za marefa halafu kuna na VAR lakini kama leo ile penalty soft ya Canada hata haikuwa reviewed
 
Nipo ghetto naangalia hawa watoto. Wamejitahidi sana tokea game ya kwanza kufungwa 4-0 na Japan ilikuwa sababu ya red card ya mapema sana, game ya Ufaransa walishinda 2-1 na walipata red pia. Game ya leo pia refa kabeba Canada kwa kuwapa penalt laini sana.

Nimeona kama Tanzania tumeonewa sana tokea game ya kwanza kabisa ila kihalali hawa wadogo zetu wanapiga soka safi sana.
Huo ni mpango kabambe wa kutuvuruga. Tuangalie sana mechi ijayo.
.
Waamuzi watapangwa au kupewa maelekezo. Na leo hii tumecheza bila 2 first team players. Mmoja atarudi mechi ijayo..
.
Huko kwingine Nigeria nao wako vizuri. Nina hofu tutapigwa figisu tusiingie semi-finals!
 
Shida ni nini? maana ikiwa tu ni timu ya taifa la Tanzania ya wanaume iwe Vijana au wakubwa na tena hawana ulemavu na hawaishi mazingira magumu , hapo hamna cha maana kitapatikana. Hongera Dada zetu.
 
Huo ni mpango kabambe wa kutuvuruga. Tuangalie sana mechi ijayo.
.
Waamuzi watapangwa au kupewa maelekezo. Na leo hii tumecheza bila 2 first team players. Mmoja atarudi mechi ijayo..
.
Huko kwingine Nigeria nao wako vizuri. Nina hofu tutapigwa figisu tusiingie semi-finals!
Figisu nyingi sama maana haya mashimdano tokea yameanza ni Spain tu ndio walioshinda mara moja kati ya nchi za magharibi (ulaya na america). North Korea ndio alikuwa ameyatawala ila mwaka huu hajashiriki.

Kwa mpira wa wadogo zetu hawa kama sio figisu huu ubingwa utakuwa wetu mapema sana. Madogo wako yente sana.
 
Huo ni mpango kabambe wa kutuvuruga. Tuangalie sana mechi ijayo.
.
Waamuzi watapangwa au kupewa maelekezo. Na leo hii tumecheza bila 2 first team players. Mmoja atarudi mechi ijayo..
.
Huko kwingine Nigeria nao wako vizuri. Nina hofu tutapigwa figisu tusiingie semi-finals!
Uzuri hatuchezi na Ulaya, tunacheza na washamba wenzetu wa America kusini.
 
Figisu nyingi sama maana haya mashimdano tokea yameanza ni Spain tu ndio walioshinda mara moja kati ya nchi za magharibi (ulaya na america). North Korea ndio alikuwa ameyatawala ila mwaka huu hajashiriki.

Kwa mpira wa wadogo zetu hawa kama sio figisu huu ubingwa utakuwa wetu mapema sana. Madogo wako yente sana.
Kwa ubingwa bando maana striking force bado ni ndogo. Hata walipofika wakivuka kidogo panatosha.
 
Wamefika sehemu ambayo ni ya heshima.
 
Back
Top Bottom