Tanzania yafuzu kombe la Dunia pool table nchi ikiendelea kuandika historia chini ya awamu ya 6

Nyota njema huonekana asubuhi.

Mhamasishaji Mkuu wa michezo.

Huko kwingine Huwa anaingiaje?
Matumizi mabaya ya rasilimali. Vijana hawana ajira, hakuna nyumba za walimu, maji shida tupu. Madawati hayatoshi mashuleni @ kunagoli la mama???
 
Serikali ya chama tawala imewekeza sana kwenye ujinga wa watu, majitu mengine yanatoka kwenye ugali yameshiba kwa jasho lao eti kaupiga mwingi for what.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…