Tanzania yageuka kuwa kitovu cha kusambaza maambukizi ya COVID-19 ukanda wa maziwa makuu?

Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
Mtaa wenyewe uporoto.

Sent using [emoji106]
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
wanaleta habari za kibeberu eh....?
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania

Kwa nini mnaongopewa ninyi tu kwenye hili? Mmewahi kujiuliza?

Takwimu za vifo na maambukizi ya Corona wewe unazo kufikia kudhani tunaongopewa? Au mkuu ni hizi hizi za tangia Apr 29 za zero zero za kina waziri Ummy?
 
mwenye virus vyake katulia kwake China.
Sisi huku tunavunjana meno[emoji16][emoji16][emoji16].
Jamani corona ndo hyoo.
ILI PANDA NDEGE.
haikuanzia kwa tandale kwa tumbo.
TUVUMILIANE TU.
Au tuandamane mpaka china..
Katika BENKI ya virus ya wachina..
Kuna virus zaid ya 1,500.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Izo dawa za vikombe vya babu wafanye tafiti haraka ili visaidie watu maana tumechoka kuskia corona kila siku,
 
HIZO MACHINE ZA KUPIMIA VIPIMO ZIMETOKA CHINA. SASA HAPO KUNA NJAMA GANI ZA MABEBERU??? AU HAO NDIYO MABEBERU WENYEWE WA KICHINA?
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
Ni kweli Mitaani kweupe Hakuna misiba ya corona
 
tanzania tupo vizuri.marais majirani wanamuonea gere magufuli kwa aina ya mapambano ya corona tanzania ni mfano wa kuigwa.
hatutishwi na corona.eti kwa sababu inaua sana uko ulaya ndo na sisi tusifanye kazi kutwa tuwaze corona ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa kweli haiwezekani.

Sisi ni tofauti sana na mataifa mengine.

Hata tukifa na Corona haiwezi kutumaliza. Mbona ma TB, malaria, kipindupindu na mengine yametushinda?

Sisi ni ngangari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…