paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Duh! Ni hataree mkuu kuamini hiki! Kwa sababu gani! Mimi kama Mimi ndugu yangu, sijui labda Niko bize mno, mpaka leo hii huku kwetu sjawahi kusikia au kuona mtu mwenye Corona ingawa Naamini ipo, Na sjui Kwa sababu ya Imani yangu, Imani yangu huniambia, Hakuna tatizo kubwa linalomzidi Mungu, basi natembea nikiwa sina habari ya Corona ingawa tahadhari zote nachukua!!Mkuu kwa misongamano anayohimiza Magu,mpaka sasa tunaweza tukawa na maambukizi makubwa kuliko US .
Mkuu maiti inaambukiza corona ujue
Kuna police nilimuona akipita Kama mita tano hivi kutoka maiti ilipo,unacheza na uhai wewe?😂😂😂 na ndiyo Maana uliikuta hapo kiongozi, na wengine walikuwa wakogopa hivyohivyo kama wewe, Ila nimecheka Sana isee
Haya kaka ... Nakupa wiki Mona nyingine hapa naongea nawewe tayari nimezika ndugu watatu ndani ya wikimoja ... Wakati huohuo naandika mssage hii naelekea mazishini nikiwa natokea mazikoni sjui umenielewa?Huu ni uwongo wa mtandaoni
Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona
Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Beberu limewika tena ndani ya ardhi yenu. MtamfanyaJe ?! Noma sana
😂😂😂😂😂😂Kuna police nilimuona akipita Kama mita tano hivi kutoka maiti ilipo,unacheza na uhai wewe?
Haya kaka ... Nakupa wiki Mona nyingine hapa naongea nawewe tayari nimezika ndugu watatu ndani ya wikimoja ... Wakati huohuo naandika mssage hii naelekea mazishini nikiwa natokea mazikoni sjui umenielewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mitaa gani, Jf ?!. Toka nje ya box tafuta ukweli.Ni kweli Mitaani kweupe Hakuna misiba ya corona
Sahihi halafu anayendika hivyo ni Mtanzania. Kweli kuna watu hawajitambui kabisa, hata kama ni kweli ni mpumbavu tu mwenye kuona fahari kutangaza habari hizo.Huu ni uwongo wa mtandaoni
Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona
Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
Huu ni uwongo wa mtandaoni
Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona
Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
Tanzania tunaingia zaidi ya mara ishirini ya population ya wamarekani,haya tuanze na wewe.Ukoo wenu wangapi wameugua Corona?.Kama hakuna aliyekufa pita kimyaUsibishe mkuu unaujua ukubwa na population ya marekani?
Mnavyoambiwa hali ni mbaya ni mbaya kweli kweli hapa Nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuombe Mungu sana watz na tuchukue hatua madhubuti kwani hali sio nzuri na bado mambo yanaendelea kuwa mabaya. Pia tuendelee kufikiri vizuri kuhusu mustakabali wa uongozi wa nchi hii. Je tunataka ccm iendelee na mambo yake haya au tunataka mabadiliko?Sio siri tena kwa sasa Tanzania inatajwa vibaya sana duniani kuhusu mapambano dhidi ya COVID-19. Bahati mbaya hali hiyo imepelekea kuitaja Tanzania kama kitovu kipya cha kusambaza maambukizi ya COVID-19 (Covid-19 Epicentre) kwa ukanda wa maziwa makuu.
Hali hii inatokana na hatua ya nchi kadhaa zinazoizunguka Tanzania kueleza kupokea visa vipya vingi kutokea Tanzania na na wakati huo huo zikionyesha kutokukubaliana na namna taifa la Tanzania linavyokabiliana na hatari za kusambaa kwa Corona.
Mpaka sasa nchi za Kenya, Uganda, Rwanda na Zambia zimeweka takwimu rasmi zinazoonyesha visa vipya vilivyotokea huku vikiihusisha Tanzania moja kwa moja na zimeanza kuweka sheria ngumu zaidi kuzuia watu wanaotokea Tanzania kuingia nchini mwao.
Hatua hiyo pia imepelekea kwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania siku ya jana kutoa tahadhari kuu kwa raia wa marekani waliopo Tanzania kubakia majumbani tu, kwa sababu hali ya maambukizi nchini Tanzania ni ya juu sana huku hospitali za jiji la Dar-es-salaam zikizidiwa na wagonjwa.
Wakati karibu kila nchi ikijaribu kutoa taarifa za mwenendo wa maambukizi ya COVID-19 wa kila siku hali ni tofauti kwa Tanzania ambapo kwa karibu wiki mbili sasa mamlaka za Tanzania zimekuwa kimya kabisa huku Rais wa Tanzania akitilia mashaka mwenendo mzima wa matokeo ya vipimo vya Corona nchini mwake na akihusisha jambo hilo huenda likawa ni njama za makusudi za mataifa ya makubwa kutaka kuichafua Tanzania kwa njia ya kukuza takwimu za maambukizi ya COVID-19. Mara baada ya kuzuka kwa shutuma hizo WHO ilikanusha vikali madai hayo na kusema vipimo vinavyotumiwa Tanzania kupima maambukizi ya COVID-19 ni vipimo sahihi, vinatumika dunia nzima na havina utata wowote katika kutoa majibu stahiki.
Una akili ndo unalinganishaje hivi?Mpuuzi kabisa wewe.Tanzania Ina maambukizi makubwa kuliko Marekani?
kwa maoni yangu, tz ni ya pili barani afrika nyuma tu ya afrika kusini kwa kuwa na idadi kubwa ya maambukizi & vifo vya koronaHuu ni uwongo wa mtandaoni
Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona
Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
sio mjuaji, ni mshamba!.Magu asingeleta ujuaji kwenye hii issue angefanikiwa sana
tatizo jamaa yenu mjuaji sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Camarade: imethitika sasa kuwa watanzania wengi wakipimwa wataonekana kuwa wanamaambukizi because of vaccines they took in the pastHuu ni uwongo wa mtandaoni
Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona
Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania