Tanzania yageuka kuwa kitovu cha kusambaza maambukizi ya COVID-19 ukanda wa maziwa makuu?

Mkuu kwa misongamano anayohimiza Magu,mpaka sasa tunaweza tukawa na maambukizi makubwa kuliko US .
Duh! Ni hataree mkuu kuamini hiki! Kwa sababu gani! Mimi kama Mimi ndugu yangu, sijui labda Niko bize mno, mpaka leo hii huku kwetu sjawahi kusikia au kuona mtu mwenye Corona ingawa Naamini ipo, Na sjui Kwa sababu ya Imani yangu, Imani yangu huniambia, Hakuna tatizo kubwa linalomzidi Mungu, basi natembea nikiwa sina habari ya Corona ingawa tahadhari zote nachukua!!

Mimi kama mimi nimefikia mahali kuamini kwamba, Corona Tanzania ipo, Ila Mungu kaifubaza kulikoni kwenye mataifa mengine
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
Haya kaka ... Nakupa wiki Mona nyingine hapa naongea nawewe tayari nimezika ndugu watatu ndani ya wikimoja ... Wakati huohuo naandika mssage hii naelekea mazishini nikiwa natokea mazikoni sjui umenielewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je mpaka wetu na Uganda bado upo wazi?
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
Sahihi halafu anayendika hivyo ni Mtanzania. Kweli kuna watu hawajitambui kabisa, hata kama ni kweli ni mpumbavu tu mwenye kuona fahari kutangaza habari hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania

Unaishi mitaa mingapi? Jumatatu asubuhi naenda kazini mtaa wa pili kutoka kwangu kulikuwa na msiba, mazingira yalikuwa na watu kama kumi wenye barakoa, polisi wanne na watu waliovalia suit za plastic wawili.

Kama huamini ninachokwambia naweza kutuma screenshot za meseji nilizowatumia nyumbani kuwatahadharisha juu ya msiba mtaa wa pili. Screenshot ikionesha muda na conversation, dare me!
 
Tuombe Mungu sana watz na tuchukue hatua madhubuti kwani hali sio nzuri na bado mambo yanaendelea kuwa mabaya. Pia tuendelee kufikiri vizuri kuhusu mustakabali wa uongozi wa nchi hii. Je tunataka ccm iendelee na mambo yake haya au tunataka mabadiliko?
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
kwa maoni yangu, tz ni ya pili barani afrika nyuma tu ya afrika kusini kwa kuwa na idadi kubwa ya maambukizi & vifo vya korona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanao sema mambukizi ya corona Tanzania nimengi hawapo Tanzania wamejichimbia kwamabeberu sasa utawaaminije je kama niwazalendo kwanini wasirudi Tanzania kuna mpuuzi mmoja anajiita Mange kimambi huyumtu niwakupuuziwa anatupotosha kwanza kasaliti nchiyake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uwongo wa mtandaoni

Tanzania ingekuwa imeathirika na corona tungeona misiba kili kona

Ila mtaani kwetu hakuna taarfa ya msiba wa corona toka hili gonjwa liingie Tanzania
Camarade: imethitika sasa kuwa watanzania wengi wakipimwa wataonekana kuwa wanamaambukizi because of vaccines they took in the past
 
Sawa mzee, ngoja tuone week ijayo kama kauli yako ni kweli au uongo wa mitandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…