Huku nchi ikibaki kuwa ombaomba na deni la Taifa likizidi kupaa... Tunafurahia misaada ya mabepari kwa jina la wahisani bila kujali athari zakePamoja nankwamba Tanzania tunao utajiri wa Almas (mwadui), Dhahabu (Kahama, Geita, Mara) na Tanzanite (Mererani)... Lakini Tanzania ni miongoni mwa nchi yenye wakazi wanao ishi maisha magumu na umasikini ulio topea.
Pamoja na kwamba wataalamu wamegundua madini huko Selous, binafsi sioni tija na chakujivunia
Katika megawatts zaidi ya 1,300 tunazozalisha Tanzania, megawatts 800 zinazalishwa kutokana na gesi asilia na mitambo mingine zaidi ya uzalishaji umeme kutumia gesi inajengwaHayana faida sana kwetu hayo maana hata impact ya gesi sijaiona mpaka leo
pia ilimuaidi itamjengea mabomu ya nuclear mizinga ya nuclear na kadhalika.... zote mkakataa manake nyinyi ni nchi ya matajiri mnapenda mazingira sana hamna aja ya pesa za madini. ila cha kustajabisha mnachoma nyumba za wamasaii. Congo pia ni nchi ya matajiri. tafakari ayo dogo.Hapo selous kuna madini ya kila aina hadi URANIUM.. Urusi ilitaka kuchimba na kuahidi itatujengea nuclear reactors lakini tulisitisha kutokana na uharibifu wa mazingira ambao wataalam waliukadiria vilevile tulikua hatuna wataalam wa kutosha..
labda wajukuu wako wata benefit wakiwa hii miaka uliyo nayo sasa 70.Bravo my beloved TANZANIA.
The TIME will come when the endowment will fully benefit our country.
tuliza bangi na gogoSwafiiii sana
Na bado!
labda wajukuu wako wata benefit wakiwa hii miaka uliyo nayo sasa 70.
HapanaHabari nzuri