Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Pamoja nankwamba Tanzania tunao utajiri wa Almas (mwadui), Dhahabu (Kahama, Geita, Mara) na Tanzanite (Mererani)... Lakini Tanzania ni miongoni mwa nchi yenye wakazi wanao ishi maisha magumu na umasikini ulio topea.
Pamoja na kwamba wataalamu wamegundua madini huko Selous, binafsi sioni tija na chakujivunia
Hilo ndo linalokera sijui ni kutokana na ubinafsi wa viongozi ama kutokuwa na dira ya maendeleo either way ni jambo linalokereketa sana