ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Ingekua kuna VAR ile ni red card bila ubishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli safi kabisaa kazi nzuri sana ya Lyanga.Stars 1......Farid
Tukishindwa magoli basi ..! Hata chenga hamna......!Muwashinde kwa lipi
Naunga mkono hoja, kwa sasa ongeza mmoja toka Namungo.Ifike wakati tukubaliane team ya taifa iundwe na wachezaji wa Simba, Yanga na Azam, hao wa kuokoteza Dodoma, Ndanda na Prison watatuchelewesha.
Stars imecheza vizuri sana first half lakini tatizo ni umaliziaji. Tumekosa mtu sahihi wa kumaliza shughuli pale mbele na kama mwalim hatafanya jambo sioni tukitoboa kwenye mechi hii.
SureGoli safi kabisaa kazi nzuri sana ya Lyanga.
Hatari sana mkuu, sijui Kama tutatoboa kwa Guinea Ila naamini mpaka siku hiyo kina Bocco na Nyoni watakuwa fiti kucheza hivyo italeta uhai sana hasa pale mbele.Tumeshinda ila duuuh,hawajamaa wametutoa jasho sana
Nyau walikuwepo ujue. Au nasema ungo ndugu yangu.Duh namibia wanakosa magori ya wazi