Tanzania yaifunga Namibia 1-0 CHAN

Tanzania yaifunga Namibia 1-0 CHAN

Lile shoot la Lyanga kama isingekuwa umahili wa kipa lingekuwa bao tam sana like.
 
Ifike wakati tukubaliane team ya taifa iundwe na wachezaji wa Simba, Yanga na Azam, hao wa kuokoteza Dodoma, Ndanda na Prison watatuchelewesha.
Stars imecheza vizuri sana first half lakini tatizo ni umaliziaji. Tumekosa mtu sahihi wa kumaliza shughuli pale mbele na kama mwalim hatafanya jambo sioni tukitoboa kwenye mechi hii.
Naunga mkono hoja, kwa sasa ongeza mmoja toka Namungo.
 
Hii sub ya Faridi kwa Majogolo aisee!!
 
Eeh Mungu saidia TZ yetu ni aibu kutoka kapa jamani kila siku sisi tu
 
Hawa jamaa wanakuja Kama nyuki huyu beki 4 wetu simuelewi kabisa huyu, well done Aishi Manula
 
Back
Top Bottom