Tanzania yaiga SGR ya Kenya kwa kutumia picha zake kwenye TV

Tanzania yaiga SGR ya Kenya kwa kutumia picha zake kwenye TV

Zigi Rizla

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
1,064
Reaction score
1,107
Yani Tanzania hakuna kutoa data isiyomsifu magufuli na hakuna SGR hadi inabidi watumie picha za Kenya.

Miaka kadhaa iliyopita Mbunge wao alitumia PICHA za SGR ya Kenya kuonyesha maendeleo ya ujenzi wa SGR ya Tanzania ambao hadi wa Leo uko mbali sana kukamilika.

Sasa maTV na YouTube channels zinazomilikiwa na Wadanganyika yanatumia PICHA za SGR ya Kenya kuonyesha maendeleo ya ujenzi wa SGR ya Tanzania ambayo ujenzi umekwama mahali mtoni Pugu tangia Mbunge atumie PICHA hizi miaka kadhaa zilizopita.

Kiini cha kusimama kwa ujenzi wa mradi huu bado hakijajulikana kwani serikali ya CCM imekataza utoaji wa habari ambazo hazijaidhinishwa na CCM.

Swali ni je, waliidhinisha aje hii ya KUTUMIA PICHA za SGR ya Kenya?

Screenshot_20200811-131449.jpg
 
Hadi hili Nalo Unataka tujadili.?Habari za Udaku Nazo Tujadiliane
 
Walazy wana wivu na Kenya. Wazembe wana tabia kama ndugu mdogo anayeiga tabia zote za ndugu yake mkubwa. Tunawaelewa
 
Wee makazi wa kibera huyo broger ni mjinga na mlevi Kama wee tu ingia official channel ya railway inaitwa leli tv YouTube au yapy markez ambae alichukua hiyo tenda 1st & 2sec phase
 
Hii ndio reli yenu Wadanganyika.
Iliderail na kupata ajali on first trial.
My instints tell me something is not right na hii reli yenu.
CCM wamebana ukweli.

Usiogope mapungufu. Ni hali ya maisha.
Mfano Kenya tumekubali Kibera and we are not ashamed and are working towards making it a better place.

images%20(37).jpg
 
Hii ndio reli yenu Wadanganyika.
Iliderail na kupata ajali on first trial.
My instints tell me something is not right na hii reli yenu.
CCM wamebana ukweli.

Usiogope mapungufu. Ni hali ya maisha.
Mfano Kenya tumekubali Kibera and we are not ashamed and are working towards making it a better place.

View attachment 1534030
It will take you forever to make Nairobi better place 🚮🚮🚮

2478035_IMG_20200805_163234.png
2475606_C8FC9A73-ED14-432B-83CE-40201F6D98C3.jpeg
 
Lamu port will soon have a bigger port than Dar-is-a-village.
 
Dar-is-a-slum is only comparable to Kibera in Nairobi.
City wise its only comparable to Mombasa.
Although Msa has a bigger port and more interchanges.
Viwanda hamna.
Simply you mean, Dar is equal to Nairobi and Mombasa combined and still never conquered,

Umeshaenda kuoga na kwa 19bob?
Maisha ya Nairobi ni ya hovyo kuliko kawaida, shida ya maji ni kubwa kuliko jangwani 🚮🚮🚮🚮
 
That SGR of a dream imewashinda hata. Yani nchi ya vituko Danganyika
 
That SGR of a dream imewashinda hata. Yani nchi ya vituko Danganyika
Danganyika nayo ni kituko cha Nchi.
Yani SGR 100km imewalemea na hawaulizi serikali ya CCM kwa nini? Kazi ni misifa tu.
Ati ruvu kuna mamba [emoji23][emoji23]

Kenya with the failed jubilee government that steals at every available opportunity imesukumwa ukingoni na raia hadi wanajenga 600km.
 
Cc. zig rizla nenda kaangalie post namba 9 uache umbea. Ngoja nikuletee report ya ujenzi ya hivi karibuni ufe na chuki zenu
Nakufa na chuki juu ya nini??

Niko na SGR 600km hapa Kenya yenye naweza panda nikijiskia wakati wowote.

Tanzania hakuna SGR baba bado mnajenga 100km miaka 4 sasa and counting.
 


Hii ni phase II kutoka Morogoro mjini kwenda Makutupola Singida kupitia Dodoma




Waziri mkuu akikagua mradi wa reli SGR from Dar to Moro hii ni phase I
 
Back
Top Bottom