Tanzania yaigaragaza Kenya katika "Freedom of Expression 2020 report", yashika namba mbili Afrika

Tanzania yaigaragaza Kenya katika "Freedom of Expression 2020 report", yashika namba mbili Afrika

Hata Mimi ninashangaa, pamoja na haya yote lakini bado Tanzania ipo juu ya Kenya, inaonekana huko Kenya hali ni mbaya sana, au ni Mabeberu wanaichukia Kunyaland?. Hahaha, hahaha, hahahahah
Ndio wajue kama si kila anachosema mzungu kipo sawa maana hawa wakenya walivyo kosa akili kitu kikisemwa na ngozi nyeupe kwa wanachukulia hakijasemwa na binadamu wakawaida
 
joto la jiwe,

Your age is showing. Here is the authentic press freedom report 2020, Freedom report 2020 as noted by reporters without border, freedom house and the UN.

Reporters without borders: https://rsf.org/en/ranking

Freedom house: Countries and Territories

UN: World Press Freedom Day - EN | United Nations

Freedom house report looks not just into press freedom ie. freedom of expression, it also looks into civil liberties and access to government by citizens.
Next time check your sources do not let old age trick you into conspiracy theories and fake news.

NB: I know in your Tanzanian brain you will get an exception. Freedom of the press is used internationally to also analyze freedom of expression.
 
CCM walizuia shughuli za Siasa kwa miaka mitano kwa Vyama Vingine wakabaki wenyewe na hajaeleweka
1592575.jpg
 
Ripoti wameandika ni mwaka 2020, au unazungumzia Magufuli kuingia madarakani katika kipindi cha pili cha Uongozi wake?.

Mumezidi mdomo wakati nchini kwenu mtu akisema vibaya kuhusu kiongozi au Serikali yenu, kesho anakutwa ameuliwa.

Kuanzia Leo msizungumze lollote kuhusu "Freedom of Expression", Tanzania hamuiwezi kabisa, pamoja na fujo za Magufuli lakini bado hamjatufikia. Hovyo kabisa.
Kama Saanane?
 
Back
Top Bottom