Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Ndio wajue kama si kila anachosema mzungu kipo sawa maana hawa wakenya walivyo kosa akili kitu kikisemwa na ngozi nyeupe kwa wanachukulia hakijasemwa na binadamu wakawaidaHata Mimi ninashangaa, pamoja na haya yote lakini bado Tanzania ipo juu ya Kenya, inaonekana huko Kenya hali ni mbaya sana, au ni Mabeberu wanaichukia Kunyaland?. Hahaha, hahaha, hahahahah