Tanzania yaijengea reli Uganda, South Sudan yavutiwa, yaomba kuitumia bandari ya Dar kupitia Uganda.

Tanzania yaijengea reli Uganda, South Sudan yavutiwa, yaomba kuitumia bandari ya Dar kupitia Uganda.

Yaani wewe ni kama mwanamama mtangazaji wa tv ya taifa ya north korea.

Ana mbwembwe huyo,while uhalisia 0%
Bila uhalisia gani na kila kitu tunawapiga double?
GDP_ almost double
Port _double
Foreign reserve _double
Budget -double
 
Bila uhalisia gani na kila kitu tunawapiga double?
GDP_ almost double
Port _double
Foreign reserve _double
Budget -double

Sgr -u ve dobled the price
Port-expans also double
Even corruption-double
 
Sgr -u ve dobled the price
Port-expans also double
Even corruption-double
Hiii yote ni kulingana na propaganda ya sisiem..... niprove statement yangu si kweli nihame jamii forums,hizo double zote nimekuekea hapo juu..
 
Hiii yote ni kulingana na propaganda ya sisiem..... niprove statement yangu si kweli nihame jamii forums,hizo double zote nimekuekea hapo juu..

Anza wewe kuniprove wrong.

Mimi nimesaport za kwako ni kweli,nikwongeza na nyingine juu.

Na zingine hizi hapa.

Mna slums mbovu zaidi EA.

Mnaongoza kwa kufa njaa EA.

Mnaongoza kwa kukosa ajira EA.

Mnaongoza kwa Kuathiriwa na mafunza (jiggas) EA.
 
Anza wewe kuniprove wrong.

Mimi nimesaport za kwako ni kweli,nikwongeza na nyingine juu.

Na zingine hizi hapa.

Mna slums mbovu zaidi EA.

Mnaongoza kwa kufa njaa EA.

Mnaongoza kwa kukosa ajira EA.

Mnaongoza kwa Kuathiriwa na mafunza (jiggas) EA.
Hizi zote umetaja ni shida za binafsi....kwanini ukue na funza juu ya uchafu
1,kwanini ukufe njaa? Juuu hutaki kuacha tamaduni za kufuga ngombe za kiasiri ambazo zimepitwa na wakati,,,ata marekani kuna watu hawana mayumba wako homeless,wengine wanatupa chakula ilhali wengine wanalala njaa so hakuna kipya unasema
 
Hizi zote umetaja ni shida za binafsi....kwanini ukue na funza juu ya uchafu
1,kwanini ukufe njaa? Juuu hutaki kuacha tamaduni za kufuga ngombe za kiasiri ambazo zimepitwa na wakati,,,ata marekani kuna watu hawana mayumba wako homeless,wengine wanatupa chakula ilhali wengine wanalala njaa so hakuna kipya unasema

Sasa kudouble ina faida gani kama mko na matatizo mob kama zetu,na nyingine zinazidi???
 
Back
Top Bottom