KWELI Tanzania yaingia mkataba na Falme za Kiarabu kuzalisha Umeme jadilifu megawatt 2000

KWELI Tanzania yaingia mkataba na Falme za Kiarabu kuzalisha Umeme jadilifu megawatt 2000

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Tanzania imeingia mkataba na Falme za Kiarabu kuzalisha Umeme jadilifu megawatt 2000.

Kukamilika kwa miradi hii kutapelekea Bei ya Umeme kupungua sana.

Jadidifu.jpg
 
Tunachokijua
Serikali ya Saudi Arabia waliichagua mwezi wa tatu 2016 nchi ya Tanzania kuwa ni chaguo la kwanza katika kukuza ushirikiano wa biashara, uwekezaji.

Kutokana na ripoti ya Waziri wa mambo ya nje Saudi Arabia Salman Bin Abdulaziz Al Saud kuwa serikali inampango wa kushirikiana na chi za Afrika sio kiuchumi bali uwekezaji mkubwa wa miradi mbalimbali Ikiwemo Elimu, Mawasiliano na Uchukuzi imegewa nafasi ya mwanzo
Back
Top Bottom