Hizi Hotel sijuwi ni Expensive kwa standards zipi, lakini obviously haziwezi Kuwa THE MOST EXPENSIVE HOTELS IN THE WORLD! Kuna Hoteli mpaka za milioni mia kwa usiku mmoja!
These are lodges not hotels
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi Hotel sijuwi ni Expensive kwa standards zipi, lakini obviously haziwezi Kuwa THE MOST EXPENSIVE HOTELS IN THE WORLD! Kuna Hoteli mpaka za milioni mia kwa usiku mmoja!
Tembea uone mkuu mimi nilitembea hotel zote serengeti zipo 2 tuu ambazo hazikujengwa nyerere mojawapo ni hiyo.Kupata kibali cha kujenga mbugani ni issue hizo 2 ndiyo hufikia matajiri na superstars wa dunia. Wanakuja kwa private jets.Kilichonishangaza zaidi vyumba vya usd 11200 kuna booking za mpaka mwaka 2016 watu wameshalipia.Pia hizi za kawaida muda wote zina wageni.Kenya wanawaibia watalii pesa wanaua swala kisha wanamtundika mtini chui aje kumla kisha wanamuonyesha mtalii,wakati serengeti hivyo ni vitendo live.Kwa utajiri wa serengeti hatupaswi kuwa masikini hivi
Samahani Mkuu naweza kujua tofauti kati ya hotel,motel na Lodge Mkuu?
mi sjui mkuu, labda waulize google mkuu..
Kuna iliyo Serengeti national park ya mkuu wa kaya inaitwa FOUR Seasons Hotel ina charge usd 11200 per night
Mmmmh! Wabongo kwa sound! Four Seasons ni chain ya Hotels ziko kibao paka NY huko, siyo ya mkuu wa kaya, ni ya Mkanada anaitwa Isadore.
View attachment 235549
Mmmmmh hapa kuna walakini, nadhani panahitaji link ya kuona rate zao... BONGOLALA tafadhari amka utupe link tuthibitishe..
Mnemba Island Lodge,....hii iko wap kwa hapa bongo?...
Big Chains za hotel hazijengi majengo siku hizi...real estate haina thamani...Four Seasons na wengine wote wanamanage majengo an kuweka brand yao....mmiliki wa majengo anakua mwengine wew humjui...natuma nimekusaidia, haya kuanzia lea uache ushabiki maandazi
Update: Inawezekana kweli ni ya Baba Mwana, kwa sababu nimejaribu kufanya research naona hao Four Seasons wanai-manage tu lakini siyo yao, wanachukua asilimia tu.
Four Seasons wanafanya management pekee,lakini sio mali yao,kama unakumbuka lodge hiyo mwano ilikuwa inajulikana kama Bilila Lodge Kempinski, baada ya wao kushindwa management wakaondoka na kuacha lodge na hatimaye kuitwa Four Seasons Serengeti,mwenye hiyo lodge pamoja na nyingine kama Hyatt Kilimanjaro hotel na Hyatt Park(Zanzibar) na Melia Zanzibar.Kwa wale msio jua muache kupotosha na kusema mara Four Seasons ni mali ya mzee wa kaya mara ya mkanada hizo zote ni blaa blaa,angalia hapa Investment holding company UAE, Food Distribution & Logistics Services, Industrial, Engineering & Construction, Hospitality & Lifestyle Services Dubai
Four Seasons wanafanya management pekee,lakini sio mali yao,kama unakumbuka lodge hiyo mwano ilikuwa inajulikana kama Bilila Lodge Kempinski, baada ya wao kushindwa management wakaondoka na kuacha lodge na hatimaye kuitwa Four Seasons Serengeti,mwenye hiyo lodge pamoja na nyingine kama Hyatt Kilimanjaro hotel na Hyatt Park(Zanzibar) na Melia Zanzibar.Kwa wale msio jua muache kupotosha na kusema mara Four Seasons ni mali ya mzee wa kaya mara ya mkanada hizo zote ni blaa blaa,angalia hapa Investment holding company UAE, Food Distribution & Logistics Services, Industrial, Engineering & Construction, Hospitality & Lifestyle Services Dubai