Tanzania yaitaka Kenya kuwaachia raia wake haraka kabla ya hatua kali za kulipiza kisasi kuchukuliwa dhidi ya Kenya

Wakenya wenyewe wanatozwa faini kwa kutovaa barakoa, mbona Watanzania walioko Kenya wasitozwe? Nikija Tanzania lazima niheshimu sheria zenu vile vile ukija Kenya, heshimu sheria zetu. Acheni kulialia.
 
Mkenya akiingia Tanzania bila kibali, mna haki ya kumfunga. Acheni kulialia na mfuate sheria za nchi mnazotembelea.
 
Wakenya wenyewe wanatozwa faini kwa kutovaa barakoa, mbona Watanzania walioko Kenya wasitozwe? Nikija Tanzania lazima niheshimu sheria zenu vile vile ukija Kenya, heshimu sheria zetu. Acheni kulialia.
hawa jamaa nashindwa kuwaelewa...yani wanapenda kulialia kweli.sijui ni sera za ujamaa ndio zimewafanya wawe soft hivi?wenyewe twatozwa kama hatuna barakoa alafu wamekuja bila barakoa wameshikwa wanasema ni makosa ya kimazoea..sielewi kosa la mazoea ni gani kabisa...watulie kwao huko na waache kulialia kama watoto wa kike
 
Hii mavi ya wapi? Super power!! Mnakunya nje unajiita superpower!! Ebu nenda kale mawe na mavi ya kibera huko..
 
Mkenya akiingia Tanzania bila kibali, mna haki ya kumfunga. Acheni kulialia na mfuate sheria za nchi mnazotembelea.
Mbona hadi leo mnalia kutokana na kuchomwa kwa vifaranga na kutaifishwa kwa Ng'ombe za wakenya?, wacheni ujinga wenu, ikitokea kwetu mnalalamika lakini ikitokea kwenu mnasema ni haki, msipowaachia by tomorrow tutawatia tena adabu kama kawaida yetu, au umasahau?
 
Mumesahau hadi leo mnalilia kuchomwa vifaranga na kutaifishwa kwa Ng'ombe zenu?
 
According to Uhuru Kenyatta the answer is yes, otherwise Kenya wouldn't put Tanzania on the list of safe countries
epidemiologically that is IMPOSSIBLE! It started in Wuhan now it is all over the world!
 
Watu wako serious na kusimamia sheria zao nyie mnaleta upumbavu wa lege lege..

Linchi la hovyo and weak government ndio linashindwa kusimamia sheria

Kenya wapo serious, mnaanza kulia

Mkafie huko

Acha kujikomba we Mbutee.! Unahisi hayo maswali uliyoyauliza wao hawajafikiria au wewe akili yako inawqza zaidi ya wao !??? Who knows labda wewe ni Mkenya unajifanya Mtz.!
Acheni chokochoko za kingese, nyie mje kwetu kufanya biashara na hatuwazuii ila nyinyi tukiingiza unyayo tayari na tukutusweka ndanj.! Who do you think you are ?? Period
 
watawaachia ubaki njia panda hujui cha kushika.

hizi shobo zenu kwa wakenya baada ya kushindwa uchaguzi sisi tunazielewa,nikukumbushe tu,hiyo super power yako ya huko kwenye vikao vya ufipa imeshatikiswa mara kibao na inaufyata.

sijui huwa unasahau,au huwa hufatilii!!!
 
Mumesahau hadi leo mnalilia kuchomwa vifaranga na kutaifishwa kwa Ng'ombe zenu?
ndio nawaambia mwakurupuka...sheria zenu za nchi zasema mchome ng'ombe na kuku??kama zasema hivyo sawa ila sidhani...huku hatujakurupuka..tumefuata sheria ambazo hata sisi wakenya wenyewe lazima tuzifuate la sivyo tunaadhibiwa..
 
Mkuu kule Kenya huenda wapo watanzania kibao ambao huenda hawana vibali.
Ujirani mwema ni muhimu.
 
wanevunja sheria gani mkuu?
 
1. Hakuna aliyelia juu ya vifaranga
2. Vifaranga kuchomwa siyo haki wala sheria. Ni kukosa utu tu. Hamna sheria Tanzania inayekubali kuchomwa kwa vifaranga vitokavyo nchi geni. Kama mngempiga mwenyewe faini tu ingemake sense.
 
MFIPA uyo asikusumbue mkuu.
 
Dah ila unajikomba kwa hao manyangau mkuu

Sio kujikomba ni busara kidogo tu!! Ujinga huo huo wa kujimwambafy Kabudi atautumia kwa marekani na matokeo yake ni vikwazo vitakazowaumiza wananchi wakati nyie ukoo wa Jiwe mnaendelea kula BATA!!
 

narudia tena huzijui hizi move wacha kujadili kwa hisia zako za machungu za kichadema,iwe unalipwa au umeamua kujikomba tu.

hatusimamii sheria gani!!eti kenya wako strict!!!!unaijua kenya wewe??

ni wewe kiazi mbatata kipindi cha corona ulileta kimbelembele cha kuisemea kenya hivi hivi,ulivyo huna kumbu kumbu leo tena umeamua kutibu stress zako.wewe ni ile sampuli ya akina mdude,wendawazimu ila mna watu wanawategemea.

maiti huwa inakufa tena!!!wacha bangi na mikate mikavu.jinga wewe.
 
Sio kujikomba ni busara kidogo tu!! Ujinga huo huo wa kujimwambafy Kabudi atautumia kwa marekani na matokeo yake ni vikwazo vitakazowaumiza wananchi wakati nyie ukoo wa Jiwe mnaendelea kula BATA!!
vikwazo gani unazungumzia!!!

unadhani marekani ni chadema ya ufipa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…