KABISA MKUU NI FREE CORONAA[emoji41][emoji41][emoji41]...KARIBU TZ YA MAZIWA NA ASALISo Tanzania is free of corona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KABISA MKUU NI FREE CORONAA[emoji41][emoji41][emoji41]...KARIBU TZ YA MAZIWA NA ASALISo Tanzania is free of corona?
"Zenu" nyie mliopo TZ,mimi sipo TZ kwa sasa,hivyo siwezi sema "zetu" maana sipo hapo na haziniathiri katika maisha yangu ya kila siku
Au unadhani hakuna Watanzania wanaoishi nje ya Tanzania?
A bunch of butter cups....
Mimi Mtanzania,na tamko lako wewe ni useless kwangu...Tamko lako la kunivua Utanzania ni useless maana huna mamlaka hayo
Unajipa vyeo visivyo vyako which makes you look like a clown....
Hiyo ni kazi ya Hakimu au Judge,wewe maiti wa JF eti upo hapa unagawa uraia kwa wanadamu usiowajua plus you dont have that mandate!