Tanzania yajiandaa kupokea ndege tano ilizozinunua hivi karibuni

Si mlisema Magu ndio ananunua mandege?

Vipi sasa?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Biashara inahitaji akili moja kubwa sana...

Una ndege tayari zinakupa hasara kila kukicha,,hazijawai kukupa faida,, unaongeza tena zingine ili ziendelee kukupa hasara zaidi..

Hii nchi ngumu sana.
 
Duh JPM anadumisha legacy popote alipo
 
Hizo ndege zitapaa kwenda wapi?. Mbona zilizopo hatuelezwi zinafanya safari za wapi?.
 
Aviation was never a good project for a banana republic. Bitter truth
 
Kwani kuna mwananchi amezuiwa kulima? au kilimo unakifananisha uchimbaji wa mgodi mpaka serikali ilete vifaa.
 
Hizo zililipwa toka zamani na marekebisho yamekamilika hivi karibuni maana ni second hand bussiness
 
Safii sana, hasara ndo mwalimu na tatajufunza kupitia changamoto. Cha ajabu sijasikia kama ndege ya mizigo (cargo plane) ni kati ya hizo ndege mpya maana njia pekee ya kupeleka bidha njee ni sisi kuwa na ndege yetu ya mizigo
Sasa hivi hakuna bidhaa zinazoenda nje?
 
Huyo mtu wenu alikuwa ameshatoa order ya hizo ndege. Usidhani ndege zinanunuliwa kama unavyoenda kununua nyanya sokoni unakuta meza kama 20 hivi zina nyanya kwa hiyo wewe unachagua tu.
Magu alinunua ndege 11 na zilishakuja, hizi hazimo hizi ni nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…