Tanzania yajiondoa kwa ukosefu wa hela kwenye michuano iliyoandaliwa kwao Dar es Salaam

Tanzania yajiondoa kwa ukosefu wa hela kwenye michuano iliyoandaliwa kwao Dar es Salaam

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
11880450_1038049362880395_2832670845308262571_n.jpg


11891259_1038049339547064_173895019611440958_n.jpg


11891259_1038049369547061_7103291781136398396_n.jpg


Timu ya mchezo wa Kriketi upande wa akina dada nchini Tanzania yajiondoa katika mashindano hayo yanayoandaliwa mjini Dar-es-Salaam kwa sababu ya ukosefu wa kodi ya kushiriki na marupurupu

https://www.facebook.com/BBCSwahili/photos/pcb.1038049706213694/1038049369547061/?type=1


 
Tunashukuru kwa taarifa.. Tutalifanyia kazi!! Endelea kuwa mbeya hivyo hivyo, umbea wako unaweza ukasaidia..
 
Kriketi bongo, iyo michezo mdebwedo hatutaki kodi zetu zitumike huko, shabaash!
 
Kriketi bongo, iyo michezo mdebwedo hatutaki kodi zetu zitumike huko, shabaash!

Hehehe!! haya mkazitumie kwa wale niliona mnawaita wazee wa Dar es Sa laam.
 
Hawa wamerudi nyumbani wamechoka, njaa na hawajalipwa........sijui kama watarushia CCM kura zao.
 
Demand and supply....
Nani asiyejua kuwa Tanzania ndiyo inayokeep soccer alive in East Africa? CECAFA inaitegemea Tanzania kuandaa Kagame xup, na timu za Tanzania zina uwezo wa kynunua mchezaji yeyote E. Africa.
You know why? Kwa sababu kuna demand kubwa Tanzania kwenye soccer.
Umewahi ku-bet kwenye cricket ya wanawake? Hata wahindi hawafanyi hivyo.
Get outta here with your cheap propaganda Nancy boy!
 
Demand and supply....
Nani asiyejua kuwa Tanzania ndiyo inayokeep soccer alive in East Africa? CECAFA inaitegemea Tanzania kuandaa Kagame xup, na timu za Tanzania zina uwezo wa kynunua mchezaji yeyote E. Africa.
You know why? Kwa sababu kuna demand kubwa Tanzania kwenye soccer.
Umewahi ku-bet kwenye cricket ya wanawake? Hata wahindi hawafanyi hivyo.
Get outta here with your cheap propaganda Nancy boy!
Wewe hii ni karne ya 21 hata wanawake wanaweza pata hela michezoni.........wewe ni mpumbavu sana uaelewa unachokisema ama ni data bundles umepata za bure?
 
Wewe hii ni karne ya 21 hata wanawake wanaweza pata hela michezoni.........wewe ni mpumbavu sana uaelewa unachokisema ama ni data bundles umepata za bure?

Data bundles? .... You funny fam!
We pay bills monthly over here and it's at&t.
Anywayz.... Kwanza isinielewe vibaya. Women cricket is not popular in Tanzania, not entirely because of gender, Ila tu ni kuwa cricket si mchezo popular na udhamini wake ni mgumu kulinganisha na soka.
Sasa wewe unanitukana kwa sababu gani?
Hakuna demand ya watu kuangalia cricket, especially ya wanawake and that's a fact, Hata TV stations haionyeshi cricket ya wanawake. Ningekuwa soka, Hata ya wanawake kusingetokea hayo. Issue siyo uanamke Bali ni mchezo wenyewe.
 
Duh, hii kali kweli! Sasa wageni watafunguliwa mlango na nani maana mwenyeji hayupo - Aibu ya zaidi ya nusu karne; zaidi ya miaka 50 ya uhuru bado tunasuasua
 
Demand and supply....
Nani asiyejua kuwa Tanzania ndiyo inayokeep soccer alive in East Africa? CECAFA inaitegemea Tanzania kuandaa Kagame xup, na timu za Tanzania zina uwezo wa kynunua mchezaji yeyote E. Africa.
You know why? Kwa sababu kuna demand kubwa Tanzania kwenye soccer.
Umewahi ku-bet kwenye cricket ya wanawake? Hata wahindi hawafanyi hivyo.
Get outta here with your cheap propaganda Nancy boy!

Yet the only east African in the English premier league is Kenyan
Wanyama Southampton
The only east African in the ligue 1 french is Kenyan
Dennis oliech
The only east African in the Italian liga is Kenyan inter Milan - Mcdonald mariga

The only country in the core 15 world rugby in africa is kenya and South Africa

The only country in the board of directors of world IAAF is kenya and Ethiopia

The only country in EAC with an ice rink is kenya and South Africa in the Greater africa
Pia skating, volleyball sisi wa kwanza Africa

Mkenya ndiye ameshinda tour De France huu mwaka

Hata CRICKET tulianza pamoja


Kenya national cricket team
Kenya
Cricket Kenya Logo
ICC membership granted
1981
ICC member status
Associate member [1]
ICC development region
Africa
World Cricket League division
Two
Captain
Rakep Patel
Coach
Steve Tikolo
First recorded match
1 December 1951 v Tanzania at Nairobi
One Day Internationals
ODI matches played
154
ODI wins/losses
42/107
First class cricket
First class matches played
55
First class wins/losses
12/24
List A cricket
List A matches played
232
List A wins/losses
82/141
ICC World Cup Qualifier
Appearances
5 † ( First in 1982 )
Best result
Runners up, 1994 and 1997
As of 6 September 2014
The Kenya national cricket team is the team
that represents the country of Kenya in
international cricket matches. Kenya has been
an associate member of the International
Cricket Council (ICC) since 1981; it played its
first One Day International in 1996, and its
first Twenty20 International in 2007. At one
time it was considered one of the strongest of
the associate members of the ICC, particularly
after reaching the semi-finals of the 2003
Cricket World Cup.
 
It's not propaganda if we have picture of Tanzanian women cricket player carrying their bags walking out of their own turf before playing for lack of money boss Kobello u claim u use at&t so Uko USA - I doubt - get out uulize propaganda ni nn

N FYI jijulishe kuwa post paid na pre paid bills za simu ziko kila mahali its just market difference..
 
Last edited by a moderator:
It's not propaganda if we have picture of Tanzanian women cricket player carrying their bags walking out of their own turf before playing for lack of money boss Kobello u claim u use at&t so Uko USA - I doubt - get out uulize propaganda ni nn

N FYI jijulishe kuwa post paid na pre paid bills za simu ziko kila mahali its just market difference..
It's not lack of money bruh! ... Kama kukiwa na tournament ya rugby, you will most likely see Kenyans and South Africans than Tanzanians.Same is in hockey etc.... But in soccer,basketball, netball, boxing or male cricket, you are more likely to get sponsors in Tanzania.
Sports in Tanzania is mostly privately sponsored or by public institutions like police, prisons, army etc...
Kuhusy pre paid phones ....lol those are for ppl with bad credit.
 
Last edited by a moderator:
Data bundles? .... You funny fam!
We pay bills monthly over here and it's at&t.
Anywayz.... Kwanza isinielewe vibaya. Women cricket is not popular in Tanzania, not entirely because of gender, Ila tu ni kuwa cricket si mchezo popular na udhamini wake ni mgumu kulinganisha na soka.
Sasa wewe unanitukana kwa sababu gani?
Hakuna demand ya watu kuangalia cricket, especially ya wanawake and that's a fact, Hata TV stations haionyeshi cricket ya wanawake. Ningekuwa soka, Hata ya wanawake kusingetokea hayo. Issue siyo uanamke Bali ni mchezo wenyewe.

Hahahaha.........was soccer born in Tz?
 
This is very sad, embarrassing and will just demotivate the young girls;The government cannot chip in?...They do not have a ministry of sports and culture like in Kenya
 
Back
Top Bottom