Tanzania yalichukua soko la watalii la China East Africa

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Hii nikutokana na wachina kuongoza duniani kwakutembelea vivutio vya utalii vilivyopo duniani. China ni moja ya nchi inayo ongoza kwa kutumia pesa nyingi kwenye utalii kupitia kutembelea vivutio vya utalii
Check out @TheEconomist’s Tweet: out @TZEmbassy’s Tweet:
 
Wachina wamepiga chini usafirishaji wa nyara. Wakikudaka ni shida
True, wameweka ban na ni watu wachache wanaojihusisha na hiyo biashara haramu, ila tusibweteke tukajiachia wakatujaribu. Kwa upande mwingine Wachina wanatajirika siku hadi siku, na ni soko zuri la utalii na pamoja na mambo mengine ya kilimo. Hawa jamaa wanashida sana ya vyakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…