Tanzania yalichukua soko la watalii la China East Africa

Tanzania yalichukua soko la watalii la China East Africa

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Hii nikutokana na wachina kuongoza duniani kwakutembelea vivutio vya utalii vilivyopo duniani. China ni moja ya nchi inayo ongoza kwa kutumia pesa nyingi kwenye utalii kupitia kutembelea vivutio vya utalii
Check out @TheEconomist’s Tweet: out @TZEmbassy’s Tweet:
IMG_20180418_184957.jpg
IMG_20180418_185005.jpg
IMG_20180417_231009.jpg
IMG_20180417_230950.jpg
IMG_20180416_210400.jpg
IMG_20180416_210341.jpg
IMG_20180416_200754.jpg
IMG_20180416_200957.jpg
IMG_20180416_200747.jpg
IMG_20180416_200735.jpg
 
Wachina wamepiga chini usafirishaji wa nyara. Wakikudaka ni shida
True, wameweka ban na ni watu wachache wanaojihusisha na hiyo biashara haramu, ila tusibweteke tukajiachia wakatujaribu. Kwa upande mwingine Wachina wanatajirika siku hadi siku, na ni soko zuri la utalii na pamoja na mambo mengine ya kilimo. Hawa jamaa wanashida sana ya vyakula.
 
Back
Top Bottom