Tanzania yamkataa balozi mpya wa Zambia kutokana na majina yake

Hii kali, kama vile wananchi wengi wanayatamka majina yao mara kwa mara? Au labda ndio majina yake yangekuwa moja ya maneno yanayoongezeka kuongelewa kwenye lugha yetu kila siku ukianzia humu JF... Namuonea huruma baba wa watu.
 
pole yake mr.MUSENGE MKUMA. hatowasahau watumbua majipu wa kibongo.
 
Atakumbukwa kwa uchapakazi wake Musenge huyo.

Ila wamfanyie basi hata transfer Kumasi embassy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…