Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Maajabu ya Mwaka Jana 2015.
Kwa Msanii Diamond plaalmasi.
1.Alishabikia CCM watu wengi walimtusi na kusema hawatompigia kura kwenye kipengele cha @BestAfricanAct.
2.TeamKiba kumsapoti mnaijeria Davido kumuacha Mtanzania mwenzake Baba tifa.
3.Hakupewa UZALENDO.Leo kachaguliwa Kiba mnasema Utanzania kwanza,UZALENDO kwanza kwa Dai haikuwa UZALENDO kwanza,UTANZANIA KWANZA.
nb:ukisikia maajabu 7 ya dunia ya mwaka huu ni ya 8.Vya kusema UZALENDO kwanza kwa Kiba ila sijui.Days are coming 28 October 2016.MTVMAMA2016.
Kwa Msanii Diamond plaalmasi.
1.Alishabikia CCM watu wengi walimtusi na kusema hawatompigia kura kwenye kipengele cha @BestAfricanAct.
2.TeamKiba kumsapoti mnaijeria Davido kumuacha Mtanzania mwenzake Baba tifa.
3.Hakupewa UZALENDO.Leo kachaguliwa Kiba mnasema Utanzania kwanza,UZALENDO kwanza kwa Dai haikuwa UZALENDO kwanza,UTANZANIA KWANZA.
nb:ukisikia maajabu 7 ya dunia ya mwaka huu ni ya 8.Vya kusema UZALENDO kwanza kwa Kiba ila sijui.Days are coming 28 October 2016.MTVMAMA2016.