Hapa tutegemee wachangiaji wachache wachangiaji wa humu wengependa iwe kinyume chake Raha Yao ni kuona Tanzania inasemwa vibaya kila mahaliTanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama wa mtandaoni, kwa mujibu wa Ripoti ya Kielezo cha Usalama wa Mtandao ya mwaka 2024 (GCI).
Tanzania imepata alama ya asilimia 100 katika nguzo zote tano za usalama wa mtandaoni, ambazo ni: kisheria, kiteknolojia, kiutawala, ushirikiano na kujenga uwezo.
Link. Link. Link.Global Cyber Security
Kujengaje uwezo?kujenga uwezo
Fuatilia kiunganishi hiki kupata taarifa kamili “https://bit.ly/3XxCZHI”Kujengaje uwezo?
Issue ya Kabendera na Vodacom hawajaiona hata Tz ipate asilimia 100?.Tanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama wa mtandaoni, kwa mujibu wa Ripoti ya Kielezo cha Usalama wa Mtandao ya mwaka 2024 (GCI).
Tanzania imepata alama ya asilimia 100 katika nguzo zote tano za usalama wa mtandaoni, ambazo ni: kisheria, kiteknolojia, kiutawala, ushirikiano na kujenga uwezo.
HahaahahTanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama wa mtandaoni, kwa mujibu wa Ripoti ya Kielezo cha Usalama wa Mtandao ya mwaka 2024 (GCI).
Tanzania imepata alama ya asilimia 100 katika nguzo zote tano za usalama wa mtandaoni, ambazo ni: kisheria, kiteknolojia, kiutawala, ushirikiano na kujenga uwezo.
Machadema na Wafuasi wao wale wapenzi wa Magu watabisha watasema wanatekwa 😁😁😁Tanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama wa mtandaoni, kwa mujibu wa Ripoti ya Kielezo cha Usalama wa Mtandao ya mwaka 2024 (GCI).
Tanzania imepata alama ya asilimia 100 katika nguzo zote tano za usalama wa mtandaoni, ambazo ni: kisheria, kiteknolojia, kiutawala, ushirikiano na kujenga uwezo.