Tanzania yaongoza kwa Uzalishaji wa Korosho Afrika. Namba 5 Duniani

Tanzania yaongoza kwa Uzalishaji wa Korosho Afrika. Namba 5 Duniani

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Tanzania ya Samia inazidi kung'ara na kung'ara kiasi kwamba wale haters wake hawajui waanzie wapi au wamalizie wapi kutunga uzushi .

My Take
Huyu ndio Rais Samia anaweka rekodi na kuzivunja mwenyewe. Pia soma Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea

Namba hazidanganyi 👇👇
TANZANIA NI YA 5 KWA UZALISHAJI WA KOROSHO DUNIANI! 🥜🇹🇿


Tanzania inazidi kung’ara katika sekta ya kilimo, ikishika nafasi ya 5 duniani kwa uzalishaji wa korosho! Kwa uzalishaji wa zaidi ya tani 528,907 kwa mwaka, sekta hii inaendelea kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya wakulima wetu. Haya ni mafanikio makubwa yanayoletwa na juhudi za serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye amewekeza katika kuboresha kilimo, miundombinu ya soko, na kuwawezesha wakulima wadogo kwa mbolea na pembejeo za kisasa.


Hizi ndizo nchi 10 zinazozalisha korosho kwa wingi duniani mwaka 2024:

1.Ivory Coast – 970,000 🇨🇮
2.India – 752,000 🇮🇳
3.Vietnam – 341,680 🇻🇳
4.Philippines – 217,583 🇵🇭
5.Tanzania – 216,907 🇹🇿
6.Benin – 215,000 🇧🇯
7.Indonesia – 163,083 🇮🇩
8.Brazil – 147,137 🇧🇷
9.Burkina Faso – 145,246 🇧🇫
10.Mozambique – 144,823 🇲🇿

Juhudi hizi ni sehemu ya dhamira ya Mama Samia kuinua sekta ya kilimo na kuhakikisha mazao ya Tanzania yanapata soko bora duniani. Korosho zetu zinazidi kuiletea heshima Tanzania kimataifa! 🥜✨

Mama Samia anatutendea mazuri, Watanzania tupo naye! 🇹🇿🔥

View: https://www.instagram.com/p/DEUmF9qo3rS/?igsh=Mjg2NHh1eHc5cWE5

Pia soma hapa zaidi Uwekezaji wa Serikali ya Rais kwenye Sekta ya Kilimo wazaa matunda. Tanzania yaipiku Nigeria na kuwa Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika

View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1899917610231460035?t=R08Gj54K99M1pdfE0M0_1A&s=19
 
Aisee wewe ni mjinga....... Nakushauri tafuta Cha kufanya, utakuja kufanyiwa upididi. Nashukuru Trump amezuia ARV maana kama vikao vya juzi Dodoma mmeambukizana sana na ARV Sasa hakuna.... Mwakani tutawazika wengi.
 
Aisee wewe ni mjinga....... Nakushauri tafuta Cha kufanya, utakuja kufanyiwa upididi. Nashukuru Trump amezuia ARV maana kama vikao vya juzi Dodoma mmeambukizana sana na ARV Sasa hakuna.... Mwakani tutawazika wengi.
😹😹😹 Ongeza volume Tlaatlaah hajasikia
 
Aisee wewe ni mjinga....... Nakushauri tafuta Cha kufanya, utakuja kufanyiwa upididi. Nashukuru Trump amezuia ARV maana kama vikao vya juzi Dodoma mmeambukizana sana na ARV Sasa hakuna.... Mwakani tutawazika wengi.
Jadili hoja acha ujinga na utoto hata kama Unaumia wewe jikaze hizo ndio kazi za Samia Sasa 😂😂
 
😹😹😹 Ongeza volume Tlaatlaah hajasikia
Aisee wewe ni mjinga....... Nakushauri tafuta Cha kufanya, utakuja kufanyiwa upididi. Nashukuru Trump amezuia ARV maana kama vikao vya juzi Dodoma mmeambukizana sana na ARV Sasa hakuna.... Mwakani tutawazika wengi.
Na Kwa taarifa Yako tuu hapo Juu zimetumika data za mwaka juzi ila msimu wa 2024/25 tumeweka rekodi ya pengine kuwa namba 3 Duniani 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDPyUMktFWN/?igsh=MTZnM2E4Mmg2Zno5MA==
 
Jadili hoja acha ujinga na utoto hata kama Unaumia wewe jikaze hizo ndio kazi za Samia Sasa 😂😂
SI ajabu Sasa hivi unavuja ...... Ukijamba unavuja ... Hawawezi kulipa akili ndogo kama wewe waachie kukubandua..... Tyson anapenda sana kubinua chawa kama wewe.... Angalia sasa unavuja uharo.
 
Hayo yote mnayomfanyia mama samia ndio mnazidi kumharibia...wala hamumsaidii...jambo zuri na ukweli hauhitaji kupigiwa kelele...huwa unajidhihirisha wenyewe tu...huwa haupingwi...

Laiti Rais wetu angejua yeye ni chaguo la Allaah kuwa hapo alipo...
 
Hayo yote mnayomfanyia mama samia ndio mnazidi kumharibia...wala hamumsaidii...jambo zuri na ukweli hauhitaji kupigiwa kelele...huwa unajidhihirisha wenyewe tu...huwa haupingwi...

Laiti Rais wetu angejua yeye ni chaguo la Allaah kuwa hapo alipo...
Kama kueleza Mazuri ya Rais ni kumharibia basi tunaendelea kufanya Kwa Nguvu zote.

Information is power ukisema eti hatuhitaji kupiga kelele kwani wewe wa Uyui Utajua kilichofanyika kwenye korosho bila kuambiwa?

Hater 🤣🤣
 
Back
Top Bottom