Hizo data zako ngoja aje yule jamaa yako muanze kubishanaโฆNa Kwa taarifa Yako tuu hapo Juu zimetumika data za mwaka juzi ila msimu wa 2024/25 tumeweka rekodi ya pengine kuwa namba 3 Duniani ๐๐
View: https://www.instagram.com/p/DDPyUMktFWN/?igsh=MTZnM2E4Mmg2Zno5MA==
Haters hawajawahi nipa shidaHizo data zako ngoja aje yule jamaa yako muanze kubishanaโฆ
Kila la kheri.Kama kueleza Mazuri ya Rais ni kumharibia basi tunaendelea kufanya Kwa Nguvu zote.
Information is power ukisema eti hatuhitaji kupiga kelele kwani wewe wa Uyui Utajua kilichofanyika kwenye korosho bila kuambiwa?
Hater ๐คฃ๐คฃ
huyo kijana si anasumbuliwa na ugumu wa maisha kwa sababu ya uvivu wake, na ndio maana ni mkali halafu mbaya zaidi amekata tamaa kabisa,๐น๐น๐น Ongeza volume Tlaatlaah hajasikia
Veggies mwenzio yule sema hip hop nyingi, nae yupo huko kinjaa njaa..!! ๐น๐น๐นHaters hawajawahi nipa shida
We can do better hadi kuwa Namba 1. Mimi siridhiki na namba 5 kwa kweli maana tuna mazingira sustainable kuliko hata nchi hizo 5 za juu.Tanzania ya Samia inazidi kung'ara na kung'ara kiasi kwamba wale haters wake hawajui waanzie wapi au wamalizie wapi kutunga uzushi .
My Take
Huyu ndio Rais Samia anaweka rekodi na kuzivunja mwenyewe. Pia soma Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea
Namba hazidanganyi ๐๐
TANZANIA NI YA 5 KWA UZALISHAJI WA KOROSHO DUNIANI! ๐ฅ๐น๐ฟ
Tanzania inazidi kungโara katika sekta ya kilimo, ikishika nafasi ya 5 duniani kwa uzalishaji wa korosho! Kwa uzalishaji wa takribani 216,907 tani kwa mwaka, sekta hii inaendelea kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya wakulima wetu. Haya ni mafanikio makubwa yanayoletwa na juhudi za serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye amewekeza katika kuboresha kilimo, miundombinu ya soko, na kuwawezesha wakulima wadogo kwa mbolea na pembejeo za kisasa.
Hizi ndizo nchi 10 zinazozalisha korosho kwa wingi duniani mwaka 2024:
Ivory Coast โ 970,000 ๐จ๐ฎ
India โ 752,000 ๐ฎ๐ณ
Vietnam โ 341,680 ๐ป๐ณ
Philippines โ 217,583 ๐ต๐ญ
Tanzania โ 216,907 ๐น๐ฟ
Benin โ 215,000 ๐ง๐ฏ
Indonesia โ 163,083 ๐ฎ๐ฉ
Brazil โ 147,137 ๐ง๐ท
Burkina Faso โ 145,246 ๐ง๐ซ
Mozambique โ 144,823 ๐ฒ๐ฟ
Juhudi hizi ni sehemu ya dhamira ya Mama Samia kuinua sekta ya kilimo na kuhakikisha mazao ya Tanzania yanapata soko bora duniani. Korosho zetu zinazidi kuiletea heshima Tanzania kimataifa! ๐ฅโจ
Mama Samia anatutendea mazuri, Watanzania tupo naye! ๐น๐ฟ๐ฅ
View: https://www.instagram.com/p/DEUmF9qo3rS/?igsh=Mjg2NHh1eHc5cWE5
Pia soma hapa zaidi Uwekezaji wa Serikali ya Rais kwenye Sekta ya Kilimo wazaa matunda. Tanzania yaipiku Nigeria na kuwa Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika
Safi sana hii...Tanzania ya Samia inazidi kung'ara na kung'ara kiasi kwamba wale haters wake hawajui waanzie wapi au wamalizie wapi kutunga uzushi .
My Take
Huyu ndio Rais Samia anaweka rekodi na kuzivunja mwenyewe. Pia soma Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea
Namba hazidanganyi ๐๐
TANZANIA NI YA 5 KWA UZALISHAJI WA KOROSHO DUNIANI! ๐ฅ๐น๐ฟ
Tanzania inazidi kungโara katika sekta ya kilimo, ikishika nafasi ya 5 duniani kwa uzalishaji wa korosho! Kwa uzalishaji wa takribani 216,907 tani kwa mwaka, sekta hii inaendelea kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya wakulima wetu. Haya ni mafanikio makubwa yanayoletwa na juhudi za serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye amewekeza katika kuboresha kilimo, miundombinu ya soko, na kuwawezesha wakulima wadogo kwa mbolea na pembejeo za kisasa.
Hizi ndizo nchi 10 zinazozalisha korosho kwa wingi duniani mwaka 2024:
Ivory Coast โ 970,000 ๐จ๐ฎ
India โ 752,000 ๐ฎ๐ณ
Vietnam โ 341,680 ๐ป๐ณ
Philippines โ 217,583 ๐ต๐ญ
Tanzania โ 216,907 ๐น๐ฟ
Benin โ 215,000 ๐ง๐ฏ
Indonesia โ 163,083 ๐ฎ๐ฉ
Brazil โ 147,137 ๐ง๐ท
Burkina Faso โ 145,246 ๐ง๐ซ
Mozambique โ 144,823 ๐ฒ๐ฟ
Juhudi hizi ni sehemu ya dhamira ya Mama Samia kuinua sekta ya kilimo na kuhakikisha mazao ya Tanzania yanapata soko bora duniani. Korosho zetu zinazidi kuiletea heshima Tanzania kimataifa! ๐ฅโจ
Mama Samia anatutendea mazuri, Watanzania tupo naye! ๐น๐ฟ๐ฅ
View: https://www.instagram.com/p/DEUmF9qo3rS/?igsh=Mjg2NHh1eHc5cWE5
Pia soma hapa zaidi Uwekezaji wa Serikali ya Rais kwenye Sekta ya Kilimo wazaa matunda. Tanzania yaipiku Nigeria na kuwa Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika
Mwaka huu wa 2025 itakuwa namba 1Nilitegemea Tz iwe ya kwanza duniani, kuna tatizo mahali
Ndio juhudi zinazofanywa na Serikali.Mwaka huu 2025 tumevuka tani 400k.We can do better hadi kuwa Namba 1. Mimi siridhiki na namba 5 kwa kweli maana tuna mazingira sustainable kuliko hata nchi hizo 5 za juu.
Anyway, naye Mwendakuzimu aliharibu kinamna fulani soko letu mwaka 2018 alipoleta TPDF kwenye biashara. Rest in hell Magufuli
We can do better hadi kuwa Namba 1. Mimi siridhiki na namba 5 kwa kweli maana tuna mazingira sustainable kuliko hata nchi hizo 5 za juu.
Anyway, naye Mwendakuzimu aliharibu kinamna fulani soko letu mwaka 2018 alipoleta TPDF kwenye biashara. Rest in hell Magufuli
Title ingekuwaTanzania ya Samia inazidi kung'ara na kung'ara kiasi kwamba wale haters wake hawajui waanzie wapi au wamalizie wapi kutunga uzushi .
My Take
Huyu ndio Rais Samia anaweka rekodi na kuzivunja mwenyewe. Pia soma Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea
Namba hazidanganyi ๐๐
TANZANIA NI YA 5 KWA UZALISHAJI WA KOROSHO DUNIANI! ๐ฅ๐น๐ฟ
Tanzania inazidi kungโara katika sekta ya kilimo, ikishika nafasi ya 5 duniani kwa uzalishaji wa korosho! Kwa uzalishaji wa takribani 216,907 tani kwa mwaka, sekta hii inaendelea kuchangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa nchi na kuboresha maisha ya wakulima wetu. Haya ni mafanikio makubwa yanayoletwa na juhudi za serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye amewekeza katika kuboresha kilimo, miundombinu ya soko, na kuwawezesha wakulima wadogo kwa mbolea na pembejeo za kisasa.
Hizi ndizo nchi 10 zinazozalisha korosho kwa wingi duniani mwaka 2024:
Ivory Coast โ 970,000 ๐จ๐ฎ
India โ 752,000 ๐ฎ๐ณ
Vietnam โ 341,680 ๐ป๐ณ
Philippines โ 217,583 ๐ต๐ญ
Tanzania โ 216,907 ๐น๐ฟ
Benin โ 215,000 ๐ง๐ฏ
Indonesia โ 163,083 ๐ฎ๐ฉ
Brazil โ 147,137 ๐ง๐ท
Burkina Faso โ 145,246 ๐ง๐ซ
Mozambique โ 144,823 ๐ฒ๐ฟ
Juhudi hizi ni sehemu ya dhamira ya Mama Samia kuinua sekta ya kilimo na kuhakikisha mazao ya Tanzania yanapata soko bora duniani. Korosho zetu zinazidi kuiletea heshima Tanzania kimataifa! ๐ฅโจ
Mama Samia anatutendea mazuri, Watanzania tupo naye! ๐น๐ฟ๐ฅ
View: https://www.instagram.com/p/DEUmF9qo3rS/?igsh=Mjg2NHh1eHc5cWE5
Pia soma hapa zaidi Uwekezaji wa Serikali ya Rais kwenye Sekta ya Kilimo wazaa matunda. Tanzania yaipiku Nigeria na kuwa Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika
Sawa bosi ๐๐Title ingekuwa
Mama awa gumzo kwa kupandisha kiwango cha uzalishaji wa korosho Afrika na duniani kote
Si eti Lucas Mwashambwa