eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Hatua hiyo inajiri baada ya taifa la Tanzania kuorodheshwa miongoni mwa mataifa 12 barani Afrika yenye ligi bora .
Hiyo inamaanisha kwamba klabu ya Yanga ambayo ilimaliza katika nafsi ya pili itajiunga na mabingwa wa ligi ya Tanzania Simba katika kushiriki ligi ya mabingwa.
Timu nyengine zitakazowakilisha Tanzania katika michuano hiyo ya Caf ni Azam Fc na KMC zitakazoshiriki katika kombe la Shirikisho.
Zitto Kabwe Ruyagwa
[emoji818]
@zittokabwe
Tunaposema @SimbaSCTanzania ni Timu ya Taifa tuna maana hii. Sasa Tanzania kuwa na Timu 4 makombe ya Bara la Afrika Kwa sababu ya mafanikio ya Simba kwenye ligi ya mabingwa Afrika. Sherehe za Uhuru Mwaka 2019 Simba ipewe Nishani ya Uhuru ya Uzalendo uliotukuka. Eid Mubarak
KMC itashiriki katika kombe la Shirikisho kwa mujibu wa kanuni hiyo ambayo inasema kuwa timu iliomaliza katika nafasi ya tatu ndio mabingwa wa kombe la FA , hivyobasi mshindi wa 4 atapata nafasi ya kucheza kombe la shirikisho kwa sababu bingwa wa FA ataiwakilisha nchi katika mashindano hayo.
Azam FC ni mabingwa wa kombe la FA
Rais wa TFF Wallace Karia amezitaka klabu zilizopata nafasi kusajili kwa umakini ili kujiandaa kwa mashindano ya CAF kwa lengo la kutopoteza nafasi ya kuingiza timu nne katika mashindano ya CAF.
Tayari CAF imefungua dirisha kwa mashirikisho kusajili timu zao.
Mohammed Dewji MO
[emoji818]
@moodewji
Tunajivunia kuwa sehemu ya kufanikisha nchi yetu kuingiza timu 4 kwenye michuano ya kimataifa, na tutaendelea kupambana kuhakikisha tunapata mafanikio makubwa kimataifa kwa maslahi ya klabu na nchi yetu. Hongera kwa Wanasimba wote kwa kazi kubwa tuliyofanya, tunastahili pongezi!
CAF imesema kuwa mwisho wa usajili wa timu hizo kushiriki ni mwezi Juni 30,2019
Baadhi ya mataifa ambayo yameorodheshwa kuwa na ligi bora Afrika ni pamoja na Algeria, Angola, DR Congo, Misri , Guinea, Morocco, Nigeria, Afrika Kusini,Sudan Tunisia na Zambia
League bora huangaliwa kwa jinsi vilabu kutoka nchi hizo, zilizofanya vizuri katika michuano ya club bingwa Africa kwa mwaka husika wa mashindano
Hiyo inamaanisha kwamba klabu ya Yanga ambayo ilimaliza katika nafsi ya pili itajiunga na mabingwa wa ligi ya Tanzania Simba katika kushiriki ligi ya mabingwa.
Timu nyengine zitakazowakilisha Tanzania katika michuano hiyo ya Caf ni Azam Fc na KMC zitakazoshiriki katika kombe la Shirikisho.
Zitto Kabwe Ruyagwa
[emoji818]
@zittokabwe
Tunaposema @SimbaSCTanzania ni Timu ya Taifa tuna maana hii. Sasa Tanzania kuwa na Timu 4 makombe ya Bara la Afrika Kwa sababu ya mafanikio ya Simba kwenye ligi ya mabingwa Afrika. Sherehe za Uhuru Mwaka 2019 Simba ipewe Nishani ya Uhuru ya Uzalendo uliotukuka. Eid Mubarak
KMC itashiriki katika kombe la Shirikisho kwa mujibu wa kanuni hiyo ambayo inasema kuwa timu iliomaliza katika nafasi ya tatu ndio mabingwa wa kombe la FA , hivyobasi mshindi wa 4 atapata nafasi ya kucheza kombe la shirikisho kwa sababu bingwa wa FA ataiwakilisha nchi katika mashindano hayo.
Azam FC ni mabingwa wa kombe la FA
Rais wa TFF Wallace Karia amezitaka klabu zilizopata nafasi kusajili kwa umakini ili kujiandaa kwa mashindano ya CAF kwa lengo la kutopoteza nafasi ya kuingiza timu nne katika mashindano ya CAF.
Tayari CAF imefungua dirisha kwa mashirikisho kusajili timu zao.
Mohammed Dewji MO
[emoji818]
@moodewji
Tunajivunia kuwa sehemu ya kufanikisha nchi yetu kuingiza timu 4 kwenye michuano ya kimataifa, na tutaendelea kupambana kuhakikisha tunapata mafanikio makubwa kimataifa kwa maslahi ya klabu na nchi yetu. Hongera kwa Wanasimba wote kwa kazi kubwa tuliyofanya, tunastahili pongezi!
CAF imesema kuwa mwisho wa usajili wa timu hizo kushiriki ni mwezi Juni 30,2019
Baadhi ya mataifa ambayo yameorodheshwa kuwa na ligi bora Afrika ni pamoja na Algeria, Angola, DR Congo, Misri , Guinea, Morocco, Nigeria, Afrika Kusini,Sudan Tunisia na Zambia
League bora huangaliwa kwa jinsi vilabu kutoka nchi hizo, zilizofanya vizuri katika michuano ya club bingwa Africa kwa mwaka husika wa mashindano