Tanzania yapanda nafasi nne katika viwango vya soka vya FIFA

Tanzania yapanda nafasi nne katika viwango vya soka vya FIFA

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Orodha ya timu bora za soka kwa wanaume iliyotolewa na FIFA leo oktoba 25, Taifa Stars imeshika nafasi ya 136 ikiwa imepanda kutoka nafasi ya 140 kwa mwezi uliopita

Uganda iliyo nafasi ya 79 inaongoza kwa nchi za Afrika Mashariki ikifuatiwa na Kenya iliyo nafasi ya 105. Rwanda inashika nafasi ya 138 na Burundi ipo katika nafasi ya 142

Aidha, Ubelgiji imefanikiwa kuiondoa Ufaransa katika nafasi ya kwanza huku Nigeria ikiongoza katika bara la Afrika ikiwa katika nafasi ya 44

1.png

2.PNG
 
Top ten hakuna Germany wala Italy ila Switzerland Kama kawa hii ina ukakasi kidogo
 
Pongezi zimuendee kiraka Erasto Nyoni!
 
Back
Top Bottom