Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 696
- 1,036
Wewe jamaa si wamekupiga nyundo halafu umeibuka tena na ripoti uchwara za rushwa.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna nchi ambazo kasi ya rushwa inapanda zaidi kuliko Tanzania lazima Tanzania itaonesha kuwa inafanya vizuri. Ni nani hasa anayejivunia rekodi hiyo ya Tanzania na ni kwa data zipi?Jihudi za Kukabiliana na Rushwa za Serikali ya awamu ya 6 Zinazidi kuzaa matunda baada ya Tanzania kuzidi kufanya vizuri.
Kwa mujibu wa jaridi la Transparency International linaloangazia masuala ya Rushwa,Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti Rushwa kutoka kuwa ya 19 mwaka 2021 Hadi kuwa ya 14 mwaka 2022.
===
Leo ni maadhimisho ya Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika ambayo yanafanyika mkoani Arusha yakiongozwa na Mheshimiwa Rais Samia.
Tanzania imeendelea kufanya vizuri kupambana na rushwa ambapo imepanda kwa nafasi tano Afrika kutoka 19 mwaka 2021 hadi 14 mwaka 2022.
My Take
Hongera Serikali Kwa uwazi na kujitahidi Kukabiliana na Wala Rushwa ingawa kazi Bado ni kubwa.