Tanzania yapanda viwango vya Udhibiti Rushwa Afrika, yawa ya 14 kutoka 19

Kama kuna nchi ambazo kasi ya rushwa inapanda zaidi kuliko Tanzania lazima Tanzania itaonesha kuwa inafanya vizuri. Ni nani hasa anayejivunia rekodi hiyo ya Tanzania na ni kwa data zipi?
 
napata changamoto kuelewa n kuelea! lakini tutafanyaje ikiwa tumekubaliana kuwa mchawi mpe mtoto alee na tumekubali sasa kuufanyia kazi usemi huu katika kutimiza haki na matakwa ya hawa watanganyika kwa kufuta t kwenye uraia wao na sasa wamekubali tena bila vitisho kuitwa wadanganyika! Ifike wakati nikubaliane na kauli zote ngumu zilizotolewa na watu wote walio na busara na hekima kwa kadri ya mazingira yao
TANU yajenga nchi nawengine wakaja na Chukua Chako Mapema wakijaa ubinafsi wakijilimbikizia mali midomo yao ikitamka asali lakini vitendo vyao ni zaidi ya sumu huku wakienda kazi na wimbo wao ccm mbele kwa mbele! bila hofu na siku si nyingi wataanza kuuana kwa kudhurumiana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…