Tanzania yapata msaada wa Tsh. Trilioni 1.15 kutoka Ulaya

Tanzania yapata msaada wa Tsh. Trilioni 1.15 kutoka Ulaya

Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EC) imetoa Msaada wa Euro Miliono 425 (Tsh. Trilioni 1.15) kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya Maendeleo

Fedha zilizotolewa zinatarajiwa kutumika katika miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi miaka mitatu ijayo na Serikali imeainisha kutumia Tsh. Bilioni 480 (Euro Milioni 180) kwenye miradi mitatu ikiwemo kuimarisha mifumo ya kidijitali

Aidha, Rais wa EC, Ursula von der Leyen amesema Tanzania ni miongoni mwa Nchi za Afrika zitakazonufaika na mpango mpya wa EU (Global Gateway Investment Package) unaokusudia kukabiliana na changamoto ikiwemo Ajira na kuimarisha Huduma za Afya na Elimu

Mama kama mama
 
Back
Top Bottom