Tanzania yapata Sh trilioni 1 kufadhili programu za kilimo

Biblia wala Qur'an haijakataza kumwita mtu mama, hata wewe ukitaka nikuite mama ntakuita.

akini baba, hapana.
 
Kama hukopesheki huwezi kukopeshw na huwezi kukopa.

Nchi haziendeshwi kwa matamanio yetu, zina vigezo vyake.
 
Wacha kukufuru wewe, utamwitaje "baba" ambae hata kuzaa hawezi? Unakwenda kinyume kabisa hata na biblia:

Mt 23:9-12 SUV Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni...

Nawas ibn Dawas (abuu hureila) mnamuita baba wa mapaka aliwazaa nyau??
Adija unamuita mama wa waumini amewazaa??
Ibn abd allah na allah wakati wanatoa hayo maagizo hawakuiona hiyo aya???

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…