Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biblia wala Qur'an haijakataza kumwita mtu mama, hata wewe ukitaka nikuite mama ntakuita.Unapomuita Samia mama kakuzaa? Iman yako ya dini usiifanye kuwa Imani ya kila mtu. Unatumia haya za qruan kitabu ambacho kwa wengine sisi hatukiamini. Biblia ipi unayofundisha watu iliyokataza kuwaita watu baba? Jikite kwenye msaafu huku kwingine tuachie wahusika.
Kama hukopesheki huwezi kukopeshw na huwezi kukopa.Unafagilia kukopeshwa fedha ambayo mwisho wa siku tutawajibika kuirejesha, ndiyo unaiita kufanya kweli kwa Bashe na Mama Samia? Unasherekea mipango badala ya matokeo? Una uhakika gani kama hiyo fedha haitachepushwa kama ilivyokawaida kwa serikali??
Unazi wako unatia shaka!!
Nawas ibn Dawas (abuu hureila) mnamuita baba wa mapaka aliwazaa nyau??Wacha kukufuru wewe, utamwitaje "baba" ambae hata kuzaa hawezi? Unakwenda kinyume kabisa hata na biblia:
Mt 23:9-12 SUV Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni...