#COVID19 Tanzania yapokea Dozi 499,590 za Chanjo ya Pfizer

#COVID19 Tanzania yapokea Dozi 499,590 za Chanjo ya Pfizer

Wewe ndio mshenzi, huwezi kuwafanya wananchi kuwa majaribio ya chanjo ambazo hujui hata chemical components zake. Unabugia tu.

Wakileta machanjo ya marekani unabugia, wakileta machanjo ya china unabugia, ya Russia unabugia. Ati tunafuata sayansi! Mweeeh!!

Hizi nchi za kajamba nani za Afrika na hasa Tanzania bado hazijajitambua. Kuna vibaraka wengi mno ambao ni version mpya ya machifu mangungo.

Ukishalambishwa dollar na wazungu basi unabong'oa unawaachia wakufire wanavyotaka. Jifunze kujitegemea.

Huwezi kuwa shoga wa wazungu milele. BE INDEPENDENT and conscious.
Acha ujinga wewe, hata hiyo chupi ya mtumba uliyovaa hapo imetoka kwa wazungu, Nyambaf
 
Acha ujinga wewe, hata hiyo chupi ya mtumba uliyovaa hapo imetoka kwa wazungu, Nyambaf
Hujui uwepo wa mitumba unasababishwa na washenzi kama wewe mnaopenda kulishwa na mabeberu kama makinda ya ndege.

Viwanda vyote mmeua, ulitaka nivae chupi ya mamako?

Fanya kazi kwa bidii, acha udalali wa machanjo. YOUNG FELLA.

Osha hata magari, fagia barabara. Lots of money there.

Utakuwa kibaraka wa wazungu mpaka mwaka gani?

Kutwa kusujudu hovyo mabeberu. Hata wakikupa mavi unakula wewe!

Stupid parasite!
 
Mm sina vyeti feki mzee. Wala sijawahi felix mitihani wowote wa taaluma kwenye maisha yangu. Acha kupiga hoja kwa mungu!? Kwa hiyo wenye vyeti feki siyo raiya???
Wewe definitely una mavyeti feki. Wakikufanyia screening lazima watabaini una magumashi kibao.

Umejificha nyuma ya keyboard unajitutumua lakini taaluma yako ya kubangaiza.

Just a little fella with no clue about literally anything.

Jifiche. Unatia aibu. Fichama kabisa. UVUNGUNI.
 
Mabeberuwamekupa shingapi ya kudalalia machanjo?

Nyerere Mabeberu yakamshinda

Mzee Mwinyi Wahisani au wafadili

Mzee Mkapa Wadau wa maendeleo

Mzee Kikwete Wadau wa maendeleo

Lijinga MABEBERU
What a desperate soul. Wewe hata wazungu wakikuambia mavi ni chanjo lazima ubugie!

Ati nafuata sayansi! Jinga kabisa!

Sio kila kitu wanachosema wazungu ni SAYANSI, vingine ni SUMU na LAZIMA UELEWE HILO.

Unafakamia fakamia tu hovyo. Madonge unabugia, machanjo unabugia. Wewe ni kufakamia tu kila kitu! Ati sayansi!

Unajua nini kuhusu sayansi wewe! Kajamba nani wa buza huko!

Pharmaceutical companies are making billions of money by killing fools like you with bioweapons and harmful technologies!

Kutwa kubugia bugia tu hovyo. UTAKUFA. Na bora ufe mwenyewe lakini usiwashawishi wengine wafe pamoja na wewe.
 
Kuna kiongozi mmoja mkubwa wa wajinga na wapuuzi alishawahi kutuaminisha kwamba Corona haipo na kwamba tutashinda kwa nyungu na maombi?
Shetani yule sasa imebaki historia acha wananchi wachanjwe
Charles mbowe?
 
Mmh tunahangaika

Yaani paap tumekua malaya wa chanjo. mara hii mara ile daah
Kama ungekuwa unajua utaratibu wa upatikanaji wa chanjo hizo usingetumia lugha hiyo!!dunia nzima hakuna nchi ambayo wanatumia chanjo ya aina moja tu!!
 
Kama ungekuwa unajua utaratibu wa upatikanaji wa chanjo hizo usingetumia lugha hiyo!!dunia nzima hakuna nchi ambayo wanatumia chanjo ya aina moja tu!!
Kwanini usitengeneze chanjo zako?

Umechutama umejificha uvunguni unasubiri wazungu wakuletee machanjo wewe ni kubugia tu?

Ukiulizwa, ati oooh tunafuata SAYANSI!

Kwako SAYANSI ni kumeza machanjo yaliyotoka Ulaya? Chochote ambacho hakijatoka Ulaya sio SAYANSI?

Jitegemeenii, msiwe viwete wa kujitakia. Acheni kusujudia pesa za wazungu zitaiponza nchi.

Mna madini, rasilimali, ardhi kubwa yenye rutuba, misitu, wanyama, mafuta, gesi, nguvu kazi, lakini hamuachi kubabaika na wazungu!
 
Mbili na ukiweza unapata na jab ya tatu ya booster...

Kama una update computer anti virus vile mwanawaneeeee...☺️
Dah, mkuu kazi tunayo. Natafuta dozi ambayo hata nikichanja naingia nchi yoyote ile. Kuna dozi nyingine hazitambuliki Ulaya na Marekani.
 
Dah, mkuu kazi tunayo. Natafuta dozi ambayo hata nikichanja naingia nchi yoyote ile. Kuna dozi nyingine hazitambuliki Ulaya na Marekani.

Pfizer, J&J, Moderna (hii haijafika bongo) zote ukipata unazama sehemu nyingine...

Hizo za kichina sidhani kama zinakubalika kwa wazungu...
 
Kwanini usitengeneze chanjo zako?

Umechutama umejificha uvunguni unasubiri wazungu wakuletee machanjo wewe ni kubugia tu?

Ukiulizwa, ati oooh tunafuata SAYANSI!

Kwako SAYANSI ni machanjo yaliyotoka Ulaya? Chochote ambacho hakijatoka Ulaya sio SAYANSI?

Jitegemeenii, msiwe viwete wa kujitakia. Acheni kusujudia pesa za wazungu zitaiponza nchi.

Mna madini, rasilimali, ardhi kubwa yenye rutuba, misitu, wanyama, mafuta, gesi, nguvu kazi, lakini hamuachi kubabaika na wazungu!

Sayansi my foot! ingia maabara, fanya utafiti na majaribio... tengeneza chanjo!

Si mnajiita wasomi nyie!
Sasa ni miaka zaidi ya 20, ungewaambia kwanza ndugu zako waache kwanza kitumia ARV'S hizo zinazotoka kwa wazungu!!kabla ya kuanza kupigia kelele haya mambo ya chanjo!wewe mwenyewe makalioni umejaa matundu ya sindano ya huyo mzungu!!!ukoo wenu wote hadi kufikia umri huo 80% ni kwa msaada wa mzungu kupitia dawa zake na chanjo!!leo hii unabanaa puaa etiii hao wazungu wanataka kutuua?!!!
 
Hujui uwepo wa mitumba unasababishwa na washenzi kama wewe mnaopenda kulishwa na mabeberu kama makinda ya ndege.

Viwanda vyote mmeua, ulitaka nivae chupi ya mamako?

Fanya kazi kwa bidii, acha udalali wa machanjo. YOUNG FELLA.

Osha hata magari, fagia barabara. Lots of money there.

Utakuwa kibaraka wa wazungu mpaka mwaka gani?

Kutwa kusujudu hovyo mabeberu. Hata wakikupa mavi unakula wewe!

Stupid parasite!
Wewe endelea kuvaa chupi ulizovuliwa na wazungu huku ukiwatukana, Nyambaf! Hapo ulipo mwili mzima umekujaa vitu vya wazungu
 
Sasa ni miaka zaidi ya 20, ungewaambia kwanza ndugu zako waache kwanza kitumia ARV'S hizo zinazotoka kwa wazungu!!
Wewee jinga kabisa. Haujui kwamba hizo ARV ni TOXIC DRUGS zinazopaswa kupigwa marufuku! Watu wanaugua figo, ini, kansa za damu kwa sababu ya hizo sumu za ARV! Ni hatari na hazifai.

ARV drugs are purposely DESIGNED to KILL WHITE BLOOD CELLS and INSTALL an artificial weak immune system which eventually leads to AIDS.

Usidandie mambo usoyajua. Ati ARV!

Kwahiyo unafikiri wazungu wanakupenda sana kwa kukupa ARV?

You think it is a life-saving drug? FOOLISH.

Msicheze na maisha ya watu nyinyi matapeli wa mwendokasi!
 
ukoo wenu wote hadi kufikia umri huo 80% ni kwa msaada wa mzungu kupitia dawa zake na chanjo!!!
Ona hili chizi?

Wewe ukoo wangu unaujua? au unabwabwaja hovyo tu?

Wazee wangu hawakudungwa huu uchafu wa wazungu! Inshaallah wameishi maisha marefu yenye afya tele!

My ancestors were physically strong and very healthy without taking any toxic drugs from west.

Ndio maana tukazaliwa sisi na ndugu zangu wote tukiwa timamu kimwili na kiakili.

Acha kuvamia mambo usoyajua. MWENDAWAZIMU.
 
Back
Top Bottom