Chini ya uongozi wa JAMAL MALINZI pale tff tusitegemee hata siku moja tz kupata mafanikio, alimtimua kim poulsen bila sababu za msingi, akaleta kanuni ya mchezaji mwenye kadi tatu za njano kuchagua mechi ya kucheza,......
Na bado itashuka sana mpaka itakuwa ya mwisho.