brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
fifa leo wametoa ranking ya mataifa mbalimbali huku germany ikiendelea kuongoza duniani huku belgium ikiweka record ya kushika nafasi ya 2 kwa mara ya kwanza kabisa.
Tanzania imeporomoka kwa kasi kutoka nafasi ya 100 hadi nafasi ya 127.
1. Germany
2. Belgium
3. Argentina
4. Colombia
5. Brazil
6. Netherlands
.
.
.
.
.
.
.
.
127. Tanzania
Tanzania imeporomoka kwa kasi kutoka nafasi ya 100 hadi nafasi ya 127.
1. Germany
2. Belgium
3. Argentina
4. Colombia
5. Brazil
6. Netherlands
.
.
.
.
.
.
.
.
127. Tanzania