MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Je swala la katiba mpya lini na vipi?
This agreement is not an end itself!
This agreement is not an end itself!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi natoa shukrani sana kwa Annan hasa hasa maana JK na BM sijui kama wangalikuwa na la kusema mbele ya Wakenya .Waliona watanzania wakikimbilia shimoni Mombasa kukwepa mauji wakati CCM inapora madaraka .So BM hana la kuwaambia Wakenya hapa dume ni Annan.JK tangia gogoro limeanza hadi linaisha kaenda kwenye kuweka sahihi pekee .
Weka link ya gazeti la Kenya linalo sema ni JK ndiye kawezesha jambo hili kuisha tafadhali .
Weka link ya gazeti la Kenya linalo sema ni JK ndiye kawezesha jambo hili kuisha tafadhali .
Kuna pionti kubwa sana katika maandiko yako.
Odinga amekuwa akiyageuka makubaliano kila mara. Leo wakijadli hivi anakubali, ikija kwenye utekelezaji anakana kabisa kuhusika na makubaliano ya mwanzo. Annan ana kazi kubwa!
Tuvute subira kwanza kabla ya kuwapongeza kwa hatua hii.
Yaani JK kuitwa kwenye photo op baada ya watu kuchakalika kwa wiki kadhaa ndiyo "kafanya kweli"?
Juzi Waziri wa PNU alivyowatukana Annan na Mkapa mkutanoni JK alikuwa wapi?
Pleease, watu wamemuita JK kama rais wa nchi jirani na mwenyekiti wa AU aje kwenye photo ops,period .
Yaani JK kuitwa kwenye photo op baada ya watu kuchakalika kwa wiki kadhaa ndiyo "kafanya kweli"?
Juzi Waziri wa PNU alivyowatukana Annan na Mkapa mkutanoni JK alikuwa wapi?
Pleease, watu wamemuita JK kama rais wa nchi jirani na mwenyekiti wa AU aje kwenye photo ops,period .
somebody shoot me! Hongera JK kwa kufanya kweli Kenya, natumaini the same procedure itafuatwa Zanzibar pia au sio (kama kweli ni wewe umefanya hili).
Je swala la katiba mpya lini na vipi?
This agreement is not an end itself!
sasa kama JK ameweza kufanya muafaka Kenya kwa muda mfupi kiasi hicho, anashindwa nini kufanya hivyo hivyo ili kupata muafaka visiwani? Hongera sana kwa kazi nzuri JK. Waliopoteza maisha yao, mwenyezi mungu awalaze mahali pema hopefully hakutakuwa na vurugu nyingine za kusababisha maafa zaidi.
Kilichobaki sasa ni wakenya kutupatia dada zao tuwafanye wake wa pili na watatu kama zawadi
The agreement was the result of a five-hour meeting chaired by President Kikwete...
Link ipo hapo juu Mkuu.
sasa kama JK ameweza kufanya muafaka Kenya kwa muda mfupi kiasi hicho, anashindwa nini kufanya hivyo hivyo ili kupata muafaka visiwani? Hongera sana kwa kazi nzuri JK. Waliopoteza maisha yao, mwenyezi mungu awalaze mahali pema hopefully hakutakuwa na vurugu nyingine za kusababisha maafa zaidi.
..Lakini huyu ndugu kibaki hakushinda uchaguzi, sasa inakuwaje tena apewe nafasi katika mgawanyo wa madaraka??? Nini maana ya uchaguzi??? Huu mgawanyo wa madaraka utawapa jeuri viongozi ving'ang'anizi afrika kuendelea kung'ang'ania madaraka kinyume na matakwa ya wapiga kura.
Ni kweli watu wamepoteza maisha. Ni kweli watu wamepoteza mali zao, wapendwa wao nk. Lakini hii haitoi justification ya power sharing. Huyu kibaki alipaswa kufunguliwa mashtaka katika mahakama za kimataifa. Ndiyo. Ushahidi upo kwamba huyu jamaa hakushinda uchaguzi. Sasa inakuwaje leo hii anashirikishwa katika kushea madaraka. Haya ni matusi kwa watu wa kenya. Ni lesson gani nchi nyingine za africa zijifunze kutoka kenya???
Halafu la kushangaza zaidi eti Mkapa naye ni mmoja kati ya ma TX katika hiyo tume. Huku nyumbani tuhuma zinamsakama kila kukicha. Mnategemea nini hapo wakuu???
Inaonekana huu utamaduni wa magharibi hatuuwezi. Umetushinda. Tubuni utaratibu mwingine wa utawala. Shame on us Africans.
Li-Museven litakuwa limeumbuka hapa!
Sitaki kuamini kwamba JK kafanya haya kwa muda mfupi vile hapana ila najua kaenda kushuhudia kuweka sahihi makubaliano .