Pambana na hali yakoNa nni mbaya zaidi kwa Wapenda ukweli wote!! Pia ni habari njema sana kwa wanaopenda kudanganywa! Hilo gazeti ni la mtaa gani kwanza? Kwenye issue za uchumi tunaliamini kabisa Economist!
Cha ajabu ni nini hapo?Ndio nashangaa, hivyo ina maana Ethiopia ambao waliongoza mwaka jana wameshuka kutoka 8% na kurudi nyuma hadi chini ya 7%
NARUDIA TENA, UNAJUA MAANA YA UCHUMI?Uchumi usiogusa maisha ya raia hauna maana kabisa.. Ukuaji wa uchumi lazima uendane na mabadiliko chanya kwenye maisha ya wananchi
AbsolutelyNdio nashangaa, hivyo ina maana Ethiopia ambao waliongoza mwaka jana wameshuka kutoka 8% na kurudi nyuma hadi chini ya 7%
Naona huyu analo lake la moyoni tu
Usishangae maana Jirani zetu n mabingwa wa kuweka link za Miaka ya 47Naona huyu analo lake la moyoni tu
Anafikiri bado watz wanaakili za miaka 47Usishangae maana Jirani zetu n mabingwa wa kuweka link za Miaka ya 47
Kweli we muuza ngadaLeo March 16, 2018 Jarida maarufu la Business Chief limeitaja Tanzania kama taifa la pili lenye uchumi unaokuwa kwa kasi zaidi barani Africa. Tanzania uchumi wake unakua kwa asilimia 7 imeshika nafasi ya pili nyuma ya Ivory Cost ambayo uchumi wake unakuwa kwa asilimia 8.5.
Orodha hiyo inayotangazwa kila mwaka, imesheheni mataifa ya Africa mashariki kwani ndio ukanda ambao umetajwa kuwa na uchumi unaokuwa kwa kasi, huku kilimo, utalii, usafiri, mawasiliano na biashara zikitajwa kama sekta zinazotazamwa na kuingiza vipato vikubwa
Source : MillardAyo
Naimudu vyema kabisa mkuu! Hofu kwako tuPambana na hali yako
Soma tena ulicho andika..Unaujua Maana ya Uchumi?
Hizi data za kupikwa, hazina ukweli
Minor mistakes sometimes are never inevitableSoma tena ulicho andika..