Tanzania yashika nafasi ya pili Afrika kwa ukuaji wa uchumi

Na nni mbaya zaidi kwa Wapenda ukweli wote!! Pia ni habari njema sana kwa wanaopenda kudanganywa! Hilo gazeti ni la mtaa gani kwanza? Kwenye issue za uchumi tunaliamini kabisa Economist!
Pambana na hali yako
 
Reactions: Oii
Bravo my beloved country TANZANIA
Bravo my President JPM
 
Uchumi usiogusa maisha ya raia hauna maana kabisa.. Ukuaji wa uchumi lazima uendane na mabadiliko chanya kwenye maisha ya wananchi
NARUDIA TENA, UNAJUA MAANA YA UCHUMI?
 
Kweli we muuza ngada
 
wabongo tumevurugwa kudadeki tunapinga kila kitu hatuaminiani kwetu kila mtu mbaya aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…