talentboy JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 2,104 Reaction score 2,073 Nov 15, 2017 #41 hongera zao...nazani kilichobaki ni kufuata nyayo tu..maana bwana yule alishawatengenezea njia wasanii wenzake wa tz! Ni jambo zuri kuona matunda ya kile alichokifanya kwa vizazi vya nyuma yake.
hongera zao...nazani kilichobaki ni kufuata nyayo tu..maana bwana yule alishawatengenezea njia wasanii wenzake wa tz! Ni jambo zuri kuona matunda ya kile alichokifanya kwa vizazi vya nyuma yake.
playboy babu JF-Expert Member Joined Nov 12, 2015 Posts 2,648 Reaction score 1,566 Nov 16, 2017 #42 king cool kiba
Chupayamaji JF-Expert Member Joined Sep 19, 2017 Posts 5,784 Reaction score 13,642 Nov 16, 2017 #43 Kiba bana kabeba tuzo kimya hata hajaposti kweli huyu ndo mchizi wa bongo