Tanzania yashtushwa na hali ya uvunjifu wa amani kwenye Uchaguzi wa Marekani

Tanzania yashtushwa na hali ya uvunjifu wa amani kwenye Uchaguzi wa Marekani

Madikteta uchwara wabakaji wa demokrasia acheni kujilinganisha na waliowazidi mnooo ktk demokrasia ili kuhalalisha uporaji na ukandamizaji wa haki za watz.Uvunjifu wa amani upi huo!! Wanachama wangapi wa democrats (upinzani) wamekamatwa, wametekwa au kupigwa risasi na watu wasiojulikana na wanaojulikana, wanachama wangapi wa democrats wametawanywa wasifanye mikutano, polisi mara ngapi wamemzuia Joe Biden kufanya mikutano, Polisi mara ngapi wamepiga risasi au virungu au kuzuia wanachama wa democrats kuandamana, hakuna hata mara moja.
 
Serikali ya Tanzania imeonyesha wasiwasi wake kufuatia taarifa za wizi wa kura na ukosefu mkubwa wa amani kufuatia fujo na uharibifu wa mali uliotokea katika baadhi ya maeneo na miji nchini humo.

Tanzania pia imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya wagombea wa kiti cha urais katika uchaguzi huo kujitangazia ushindi kinyume cha taratibu jambo linalochangia kuzuka kwa fujo na uvunjifu wa Amani, na kuitaka serikali ya Marekani kuhakikisha kwamba haki na demokrasia inatawala katika kipindi chote cha uchaguzi.

Tanzania inaendelea kufuatilia kwa makini uchaguzi huo na kuzitaka pande zote husika kujizuia na vitendo vyovyote vyenye kusababisha uvunjifu wa Amani.
Muwaonye Raiyaa wenu kutozuru Marekani na wale waliopo Marekani wawe kwenye tahadhari 😂😂
 
Madikteta uchwara wabakaji wa demokrasia acheni kujilinganisha na waliowazidi mnooo ktk demokrasia ili kuhalalisha uporaji na ukandamizaji wa haki za watz.Uvunjifu wa amani upi huo!! Wanachama wangapi wa democrats (upinzani) wamekamatwa, wametekwa au kupigwa risasi na watu wasiojulikana na wanaojulikana, wanachama wangapi wa democrats wametawanywa wasifanye mikutano, polisi mara ngapi wamemzuia Joe Biden kufanya mikutano, Polisi mara ngapi wamepiga risasi au virungu au kuzuia wanachama wa democrats kuandamana, hakuna hata mara moja.
Marekani ndiye dikteta Mkuu duniani.
 
Serikali ya Tanzania imeonyesha wasiwasi wake kufuatia taarifa za wizi wa kura na ukosefu mkubwa wa amani kufuatia fujo na uharibifu wa mali uliotokea katika baadhi ya maeneo na miji nchini humo.

Tanzania pia imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya wagombea wa kiti cha urais katika uchaguzi huo kujitangazia ushindi kinyume cha taratibu jambo linalochangia kuzuka kwa fujo na uvunjifu wa Amani, na kuitaka serikali ya Marekani kuhakikisha kwamba haki na demokrasia inatawala katika kipindi chote cha uchaguzi.

Tanzania inaendelea kufuatilia kwa makini uchaguzi huo na kuzitaka pande zote husika kujizuia na vitendo vyovyote vyenye kusababisha uvunjifu wa Amani.
Nimekosa cha kucomment hapa!
 
Serikali ya Tanzania imeonyesha wasiwasi wake kufuatia taarifa za wizi wa kura na ukosefu mkubwa wa amani kufuatia fujo na uharibifu wa mali uliotokea katika baadhi ya maeneo na miji nchini humo.

Tanzania pia imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya wagombea wa kiti cha urais katika uchaguzi huo kujitangazia ushindi kinyume cha taratibu jambo linalochangia kuzuka kwa fujo na uvunjifu wa Amani, na kuitaka serikali ya Marekani kuhakikisha kwamba haki na demokrasia inatawala katika kipindi chote cha uchaguzi.

Tanzania inaendelea kufuatilia kwa makini uchaguzi huo na kuzitaka pande zote husika kujizuia na vitendo vyovyote vyenye kusababisha uvunjifu wa Amani.
Nimekosa cha kucomment hapa!
 
Back
Top Bottom