Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Katika viwango vipya vya soka vilivyotolewa na FIFA leo vinaonesha kuwa Tanzania imeshuka nafasi moja katika hivyo na kufikia nafasi ya 134, kutoka 133. Aidha, Kenya imepanda nafasi mbili na kufikia 106, huku Uganda ikipanda nafasi mbili na kufikia 77. Kutokana na viwango hivyo vipya orodha ya timu bora Afrika Mashariki itakuwa:
1.Uganda
2.Kenya
3.Rwanda
4.Tanzania
5.Burundi
6.Sudan Kusini
Wakati kwa Afrika Timu kumi bora zimewekwa kama ifuatavyo:
1. Senegal
2.Tunisia
3. Nigeria
4. Algeria
5. Moroko
6. Ghana
7. Misri
8. Cameroon
9. Mali
10. Congo DR
Na zifuatazo ndio timu kumi bora duniani:
1.Ubelgiji
2.Ufaransa
3.Brazil
4. Uingereza
5.Uruguay
6. Crotia
7. Ureno
8.Hispania
9. Argentina
10.Colombia
Chanzo:Swahili Times