Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

Serikali ya Marekani chini ya Rais Mtata, Donald Trump imetangaza kuwa iko mbioni kuziongeza nchi nyingine 7 kwenye orodha ya nchi ambazo Wananchi wake watawekewa vikwazo vya kuingia nchini humo (Marekani)

Tanzania imetajwa pamoja na nchi za Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria na Sudan

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Magufuli nini kimetokea? Hadi tufikiriwe kuwekewa vikwazo?

Au Marekani wanatuonea wivu tu?


========

(Reuters) - The Trump administration is planning to add seven countries - Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria, Sudan and Tanzania - to its travel ban list, U.S. media reports said on Tuesday.

Some countries will face bans only on some visa categories, the Wall Street Journal reported. The list of countries was not final and could yet change, website Politico said.

U.S. President Donald Trump said in an interview with the Journal that he was considering adding countries to the travel ban, but declined to state which ones. Politico said an announcement was expected as early as Monday.

The move is likely to sour ties between the United States and the countries affected under the expanded ban.

Nigeria, for example, Africa's largest economy and most populous country, is a U.S. anti-terrorism partner and has a large diaspora residing in the United States.

A senior Trump administration official said that countries that failed to comply with security requirements, including biometrics, information-sharing and counter-terrorism measures, faced the risk of limitations on U.S. immigration.

The Department of Homeland Security did not immediately respond to requests for comment. The State Department declined to comment.

Under the current version of the ban, citizens of Iran, Libya, North Korea, Somalia, Syria and Yemen, as well as some Venezuelan officials and their relatives are blocked from obtaining a large range of U.S. immigrant and non-immigrant visas.

Chad was previously covered under the ban but was removed in April 2018.

Citizens of the countries can apply for waivers to the ban, but they are exceedingly rare.

(Reporting by Makini Brice; Additional reporting by Arshad Mohammad, Steve Holland and Humeyra Pamuk in San Jose, Costa Rica; Editing by Mohammad Zargham and Tom Brown)
It's about time we let go, coz we really need to stand on our feet and keep moving "we don't have much of a choice, that's for sure"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DJkus,
Waache watufungie,nani anataka kwenda huko
Hizo ni hasira tu baada ya sera za ushoga kukataliwa,watarudi kivingine wakikwama na ubeberu wao

Duh! Marekani haikwamagi maana yule ni MBABE WA DUNIA, nadhani KWERE zake kwa Tsnzania ni za kufanyia kazi kwa hekima kuu kwa maslahi ya Taifa, maana ni ni nchi gani iliyoweza kuhimili vikwazo bila kuadhirika sana?
Kwa mfano suala la Mh. Makonda tunahita ushahidi ili hatua zichukuliwe hima’ mambo mengi marekani huweka kama mtego na usipotumia akili nyingi leo anatuhumiwa Makonda tukionyesha kumkingia kifua tuhuma hizohizo zinakua ni za serekali na zikifuatiwa na vikwazo vigumu zsidi.
Ninaamini kama Mh. Kabudi aliweza kufanya majajiliano na BARICK na kutulete MKATABA WA KIHISTORIA , angali bado na uwezo wa kujajiliana na USA na kUFIKIA maridhiano fulani kwa maslahi ya Taifa letu, majibu na hatua za kibabe yatamsaia huyu BEBERU kufikia malengo yake! Tukikumbuka kua KUKOSANA na USA ni kukosana na wawekezsji pia pamoja na nchi nyingi zinazotii maagizo kutoka USA.
 
Namba kubwa ya vijana wa Tanzania inajiingiza ISIS, Al-Shabab ect. Yote haya yanasababishwa na kukosa ajira.

Kuwekeza katika nguvu kazi ya vijana ni muhimu.
Nimechelewa kidogo lakini ngoja niseme.Nenda kafikirie tena.
 
Tangazo la kionevu hili limesababisha Corona Dunia nzima, Baada ya Corona kuisha iko namna ya kistarabu ambayo italazimu kila nchi iishi,
 
Back
Top Bottom