Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wambura na jeshi lake wametuwezesha kuwekwa humo.Wakuu,
Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.
Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.
List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.
Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.
View attachment 3167931Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?
CHANZO: Guidance: Possible Immigration Changes in 2025 | International Services
Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Pira arudishe Bilioni 7 zetu.Wakuu,
Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.
Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.
List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.
Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.
View attachment 3167931Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?
CHANZO: Guidance: Possible Immigration Changes in 2025 | International Services
Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?
Exactly!BAN itawahusu watekaji CCM na familia zao,raia wa kawaida haiwahusu
Absolutely not.Kwani usipoingia marekani utakufa?
So it's not as important as in order to survive you should have to visit the United States..Absolutely not.
Pia, kutokuingia Marekani si adhabu. As far as I’m concerned.
Kilichokufurahisha ni kipi hasa?na kujikomba koote na kila kitu kutolea mfano marekani ukweli nimefurahi
Jibu swali utakufa?Jiongelee wewe, and for the record almost vitu vingi mnavyotumia today vinatoka kwao,
Mna viwanda au uchumi wa kuwa match?
Am sure hujawahi kuwa hata na passport huwezi kujuwa Marekani ni nini? Ungejiuliza kwanza kwa nini marais wote wa dunia wanakutana Marekani ungejificha na huu ujinga uliocoment.Kwa imani zetu. Lakini tunaweza kwenda nchi nyingine. Kama mtu hakutaki kwako kwanini ulazimishe? Ni kujipendekeza
Kiwanja cha ukweli na cha uhakika kwa sasa ni New zealand na Australia, huku mishahara ni mikubwa na wameshusha kodi, kwa wewe ukitaka kwenda unatumia ETA tu na mkoba wako wa kinyamwezi.Trump anawafungua macho Watanzania wajitegemee tu, sasa hapo ni juu ya Watanzania kuelewa somo.
Na huo ndio ukweli unajifanya unataka kupingana nao , mwafrica bila mzungu ni bure kabisaKwani tusipoenda marekani tutakufa?
Hii ndio inawapa jeuri hao wazungu kuona kuwa bila wao si hatuwezi.
Wewe unacheza rockup, kama wewe haunashida huko watz kibao wanataka kwenda huko kwa mahitaji mbalimbali kama binadamu huru.Kwani tusipoenda marekani tutakufa?
Hii ndio inawapa jeuri hao wazungu kuona kuwa bila wao si hatuwezi.
Uhuru ni uhuru na utauona huo uhuru ukiwa na maana sana ukiwa rockup.Lazima kuna sababu. Lakini why tulazimishe? Tunaweza kwenda nchi nyingine
Sioni kama kuna la msingi huko, hata bidhaa zao huwa mbaya mbaya, We lost nothing, NCHI AMBAYO UCHUMI WAKE UNANYANYUKA BILA MSAADA WAO HAIWI RAFIKI WAO.Wakuu,
Nadhani kutokana na mambo yanayoendelea nchini image ya taifa imezidi kuchafuka.
Hivi karibuni nimekutana na listi ambayo inaonesha orodha ya nchi ambazo zinaweza kupigwa ban kuingia Marekani iwapo bwana Trump ataapishwa and yes Tanzania tumo.
List hiyo imetolewa na Cornel University, chuo kilichoanzishwa mwaka 1865 na katika bandiko lao wameonesha orodha ya nchi ambazo iwapo Trump ataingia basi kuingia Marekani itakuwa ni ndoto.
Katika orodha hiyo, Tanzania tumewekwa kwenye kundi moja na Kyrgyzstan, Nigeria, Myanmar, Sudan, Tanzania, Iran, Libya, North Korea, Syria, Venezuela, Yemen, and Somalia.
View attachment 3167931Hivi kweli leo sisi ni wa kuwekwa kwenye kundi moja na Myanmar, Sudan na North Korea?
CHANZO: Guidance: Possible Immigration Changes in 2025 | International Services
Ile Royal Tour ilikuwa na kazi gani kama hata image ya nchi haijasafishika na mambo yako vile vile kama 2017?