Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zitakazopigwa Ban kuingia Marekani mara tu Trump atakapoapishwa!

Kwani tusipoenda marekani tutakufa?

Hii ndio inawapa jeuri hao wazungu kuona kuwa bila wao si hatuwezi.
Mpumbavu na uzalendo mavi angalia nchi zilizotengwa nao kama Iran na North Korea hali ya maisha na uchumi wa nchi hizo. Hii ni reminder kuwa mfumo wa utawala una walakini nchi inaongozwa na washenzi dawa ni kuangalia utawala wenu wa kiimla
 
Achana nao hao Wazee wa upinde
 
Mpumbavu na uzalendo mavi angalia nchi zilizotengwa nao kama Iran na North Korea hali ya maisha na uchumi wa nchi hizo. Hii ni reminder kuwa mfumo wa utawala una walakini nchi inaongozwa na washenzi dawa ni kuangalia utawala wenu wa kiimla
Kwa hili ccm linatuhusu,wizi na ufisadi uchaguzi wa hovyo usio na uwazi.
 
Limacho kumchuzi linarembua kila mahali litaumia na jinsi linavyopenda kujinafasi huko nje na viingereza chekecheke style! Kenya wameenda ICC na hili limdebwedo haliponi subiri!!
Limacho kumchuzi linarembua kila mahali litaumia na jinsi linavyopenda kujinafasi huko nje na viingereza chekecheke style! Kenya wameenda ICC na hili limdebwedo haliponi subiri!!
 
Kuna watu wanajibu kama wamekatwa vichwa kiwiliwili kimeanza kuoza.

Hii ni ujumbe kwa serikali sio wananchi wa kawaida.

Hii inaonyesha nchi imekata kona mahali fulani. Haki za binadamu ukatili wa watawala na mengine mengi inapelekea kutoa taarifa kama hizi.

Marekani ndio Mkuu wa dunia tutake tusitake ni hivyo..

Hii taarifa inawahusu watekaji madhulumati walioko madarakani. Ugumu wa kuelewa hili uko wapi?

Anayesema Marekani haina inachosaidia umelewa mbege ya asubuhi! Dawa za kurefusha maisha kwa waathirika utatengeneza wewe?
 
😹😹😹 min -me
 
Tatizo hapa ni lugha. Kilichoandikwa na ulichoandika ni vitu viwili tofauti
 
Wasiojulikana wametusababishia hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…