Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi 5 Afrika, Wakenya wapinga na kudai kwamba Tanzania inapendelewa haistahili kuwepo

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Tanzania imetajwa na "Africa insider" kuwa ni miongoni mwa nchi tano katika Afrika zinazopendelewa na "Black Americans, Caribbeans" na watu wenye asili ya Africa duniani, nchi zingine NNE ni Ghana, Senegal, Gambia na Namibia.

Katika Comments, raia wa nchi zote wameonyesha kukubaliana ni hiyo orodha isipokua wakenya pekee ambao wamepinga kuwepo kwa Tanzania kwa kutoa sababu mbalimbali ikiwemo lugha ya Kiingereza.

Sikiliza, angalia hii video, kisha soma comments hapo chini ujionee wivu na chuki za wakenya kwa Tanzania.
 
Kwa Tanzania, WaAfrika wengi (walio nje ya Afrika) wanaipenda na kuitaja taja sana Tanzania ni kutokana na Historia jinsi ilivyopambana kuwakomboa WaAfrika dhidi ya ukandamizaji. Mfano kipindi kile cha nyuma viongozi wote wa juu wa Black Panthers, kama kina Anjela Davis, Walter Rodney, Martin Jr na wengine wengi, their second home country was Tanzania.

Wakija huku wakionana na JK Nyerere walikuwa wakifarijika sana kuona jinsi anavyohisi kama vile wao wanavyohisi. Alikuwa akiwasimulia kuhusu jinsi wanavyopambana na uonevu wa Afrika ya kusini, kutaka kukomboa nchi nyingine.

Hivyo walikuwa wakifarijiwa sana na mambo hayo. Na mpaka sasa, hususan awamu hii. WaAfrika wengi wanaamini ukombozi wa MuAfrika unaweza tokea Tanzania.
 
Mnapenda kujisifu bure tu.
 
Kuna sehemu niliona
1.Ghana
2.Nigeria
3.South Africa
4.Senegal
5.Kenya
 
Ni historia bwana mdogo ndiyo iko hivyo. Soma the Autobiograph of Angela David, How Europe Underdeveloped Afrika na The Dead Aids by Dambisa Moyo, you will under to what I'm refering.
Sawa. Nitazisoma.
 
tunajua toka kitambo tena ni bepari mkiritimba, hawa wakenya wako na shida nyingi kwa kichwa. kila kitu lazima wajilinganishe na Tanzania!!
we compare you to North Korea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…