Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi 5 Afrika, Wakenya wapinga na kudai kwamba Tanzania inapendelewa haistahili kuwepo

Good boy, this is why sometimes in April 2019, I wanted to include you to the Transaction Advisory Team which I'm leading.
Thank you. Napenda kusoma and i can see it is true for you too. Education imenifungulia milango mengi.
 
Ni kweli tulikuwa na historia nzuri ila itabaki kuwa historia kwa utawala huu.
 
Walitaka Kenya ndiyo iwemo.humo? wale hawana tofauti na manyang'au, pesa za worldBank zinawatokea puani lazima watangaze Corona hata kama takwimu zitakuwa za uongo
 
Ukweli kuhusu kiingereza bi huu hapa,Kenya si mabingwa wa kuongea kiingereza kiasi cha wa kuwatisha watanzania,kila mkenya atakae kuja na kiingereza chake atadai pia katokea Nairobi,hii imetosha tu kwa mwenye akili kuelewa kwanini kila mkenya anaejua kiingereza katokea Nairobi,
Hautokaa usikie mkenya kaja Tanzania halafu akadai katokea Turkana.
Sasa basi ingie katika kiswahili,hawa jamaa hawajui kiswahili vizuri na kuna sehemu hadi leo hawajui kiswahili wala hawajui kiingereza,ukingiua Arusha,kati ya vijana kumi wanaozungumza lugha ya kiingereza,waane watakua wana lugha nyingine ya ziada,hawa jamaa ni tambo nyingi sana,ila ukweli upo hivi mtanzania kiingereza kweke ni kama lugha nyingine,hivyo si kipaumbele cha kwanza,ingawa wengi wanazungumza lugha hii,kama hamuamini siku moja tufanyeni live game na hawa jamaa muone wanavyoshusha macho chini,kazi kukomalia lugha ambayo ilisababishwa babu zao wakapigwa na mayai yaliyooza,ndio,WIMBO WA HISTORIA nso hueleza hayo.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…