Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi kumi bora Afrika kwa uwekezaji. Tarajieni mafuriko ya wawekezaji

Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi kumi bora Afrika kwa uwekezaji. Tarajieni mafuriko ya wawekezaji

Wanisamehe niko na mama Sana tu,

"Uzalendo ni kusimama na nchi yako wakati wote na Rais pale tu anapopatia "

Nitasema tena na tena maadamu sisemi uongo nitasema tena,
MKUU UNAWAPA WATU SHIDA SANA,
Waliamini Samia atashindwa, Sasa haya mataarifa yako yanawachanganya sana,
Shikilia hapohapo, Hii ndio siasa sasa,
Kila kitu naushahidi, wanabaki kutukana tu,

Samia ni mpango wa Mungu
Na
 
Hongera sana Mama Samia Suluhu,

Nikweli wawekezaji walitukimbia wote,

Asante kwa kurejesha imani tena kwa wawekezaji,

Tunakuunga mkono leo na kesho,

Hii ndio Tanzania tuliisubiri,

Mzee CM 1774858 unawapa shida sana wataka mabaya tu, Hongera sana
Heshima kwako mkuu wangu,

Mama anawatu sio mchezo,

😍😍😍😍😍😍😍😍
 
Mkuu CM 1774858 asante kwa taarifa.

Nimekufuatilia sana maandiko yako nimegundua unao uzalendo wa kweli,

Mama Samia nikweli anafanya kazi kubwa wawekezaji wanarudi tena kwa kasi sana tuendelee kumwombea,

Hii habari ni mbaya sana kwa wale wakupinga pinga na kuonesha kuwa mama hafai,
Amen utukufu ni kwa Mungu,

Tuendelee kumsemea vizuri Rais wetu


😍😍😍😍😍😍😍😍
 
Wanisamehe niko na mama Sana tu,

"Uzalendo ni kusimama na nchi yako wakati wote na Rais pale tu anapopatia "

Nitasema tena na tena maadamu sisemi uongo nitasema tena,

Na
Sawa mbeba pochi wa mama
 
Ndio maana tunamsapoti

Screenshot_20210929-163803.png
 
Back
Top Bottom